Robert Mugabe: Raila Odinga akikanyaga Zimbabwe nitamkamata na kumhasi

Robert Mugabe: Raila Odinga akikanyaga Zimbabwe nitamkamata na kumhasi

Status
Not open for further replies.
That is manhood.Tena na asiende kabisa asijisahaulishe huyo ni MUGABE sio wale wa "just President" hamuhofii yeyote katika hao wanaoitwa "Wakuu wa dunia" sembuse Raila.
 
Hehehehe!! kumbe Raila ndiye kampandikiza Magufuli, duh! Jamaa noma kweli. Halafu nchi kadhaa yeye ndiye kawaweka marais wa huko. Cheze Mkenya wewe!! utakoma.
 
Babu Mugabe naye ameanza kuweweseka akidhani mahakama ya mafisadi inataka kuanzishwa nchini mwake.

Yeye akomae tu na kina Tendai Biti na Tsvangirai wake ila akae akijua kuna siku atapigiwa hodi na kuambiwa "usiye mpenda kaja".
 
Raila Odinga hana ujanja wa kuwa rais Kenya, atawezaje kupandikiza marais nchi zote hizo?
 
Akiongea kwa jazba, kwenye sherehe za wanajeshi wake, rais mugabe amemwakia Raira Odinga kwa kuwasaidia mrafiki zake kuiba kura ili waingie madarakani, hii ameifanya Nigeria,Tanzania,Ivory coast na sasa anairatibu kazi hii Uganda kwa kumsaidia Besigye. Amesema Raira akienda Zimbabwe atamuhasi kende zake! Migabe hamunyi kabisaa!
 
Akiongea kwa jazba, kwenye sherehe za wanajeshi wake, rais mugabe amemwakia Raira Odinga kwa kuwasaidia mrafiki zake kuiba kura ili waingie madarakani, hii ameifanya Nigeria,Tanzania,Ivory coast na sasa anairatibu kazi hii Uganda kwa kumsaidia Besigye. Amesema Raira akienda Zimbabwe atamuhasi kende zake! Migabe hamunyi kabisaa!
Kazi ya propaganda haikufai kabisa.
 
Akiongea kwa jazba, kwenye sherehe za wanajeshi wake, rais mugabe amemwakia Raira Odinga kwa kuwasaidia mrafiki zake kuiba kura ili waingie madarakani, hii ameifanya Nigeria,Tanzania,Ivory coast na sasa anairatibu kazi hii Uganda kwa kumsaidia Besigye. Amesema Raira akienda Zimbabwe atamuhasi kende zake! Migabe hamunyi kabisaa!
Sasa yeye mbona ameshindwa kumuibia kura Uhuru Kenyatta? Mugabe with 7 and 2 masters Degree hawezi kuongea upuuzi huu
 
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amemshambulia kwa maneno makali mwanasiasa mkongwe wa Kenya ambaye pia ni kiongozi wa chama cha CORDS huku akimpiga marufuku kukanyaga ardhi ya nchi hiyo.

Akizungumza huko Marondela katika hafla iliyowahusisha wanajeshi walioshiriki katika vita mbalimbali, Mugabe alimtuhumu Raila kwa kutaka kumpindua kwenye nafasi yake kwa kuwapandikiza wapinzani nchini humo.

Hivi ndivyo alivyosema:
?Raila Odinga ni mwanasiasa muongo wa Kenya, mwanaume mnafiki ambaye yuko katika mkakati wa kuwapandikiza marafiki zake kuwa marais kwenye nchi zote za Afrika ili awe mwenyekiti mwenye nguvu kwenye Umoja wa Afrika (AU), siku moja watamuangusha kwenye sanduku la kura.

?Angalia alichokifanya Nigeria, Tanzania, Ivory Coast na anataka kufanya hivyo pia Uganda kwa kumtumia rafiki yake Kiiza Besigye ambaye leo anapewa sifa na ushupavu ambao anapata kutokana tu na amri za Raila barani Afrika.

?Hapa hatutamruhusu kuwageuza marafiki zake wa zamani Tendai Biti na Morgan kuniondoa mimi, hakuna kwa namna yoyote. Nitatawala kwa miaka 90 zaidi. Nimekiamuru kikosi maalum cha jeshi kuangusha ndege yoyote itakayokuwa imembeba huyo mwendawazimu Raila na kundi lake la mipango ya uchakachuaji wa kura dhidi ya marais wanaoendelea kutawala Afrika.

?Nimewaamuru walinzi wangu kuhakikisha wanakuwa makini kuhakikisha Raila hajipenyezi bila kubainika.

?Tutashindwaje kukosa usingizi kwa sababu tu ya Raila, yeye ni kitu gani? Tutamkamata na kumhasi kabla yeye na timu yake hawajamsaidia Morgan na Biti kunipindua kwenye Urais.?

Hii sio mara ya kwanza kwa Mugabe kushambulia Kenya kwa maneno, wiki chache zilizopita alidai kuwa wananchi wa Kenya ni wezi kutoka damuni na kwamba anadhani wanasomea shahada ya wizi. Alitahadharisha wananchi wake kutokubali kukaa karibu na wakenya kwa madai kuwa wanaweza kuwaambukiza wizi.

Mwezi Juni mwaka 2008, Raila Odinga aliwasilisha pendekezo lake mbele ya Umoja wa Afrika akitaka Umoja huo kumsimamisha uanachama Rais Mugabe hadi pale atakaporuhusu uchaguzi huru na wa haki nchini kwake.
 
Kwa Tanzania sawa, lakini naye aachie ngazi kikongwe huyu
 
huyu mzee amezeeka vibaya,yaani rais wa tz awekwe madarakani na raila ondinga?
 
Hahahahahahaa hili la Tanzania liko wazi.... ila pia nadhani hawa wawili wana ugomvi wao binafsi. Labda Raila anataka ampore Babu demu wake
 
kamweka kwenye sufuria au ndoo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom