Job security ni pamoja na malipo mazuri ukiwa unaendelea na kazi.
Binafsi kama malipo ni madogo sioni maana yoyote na kusema eti Kuna usalama wa ajira.
Mwana kulitafuta mwana kulipata , ndoa sio maigizo. Huwa nawaambia watu stay truthfulness kwenye ndoa yako na Wala usiwe na mawazo Hasi juu ya mwenza wako.
Anyway muombe msamaha ila mmmmmh jiandae kuchapiwa,akili za wanawake wanazijua wenyewe.
Usichoke Wala kukata tamaa,hebu tafuta NGO inayohusiana na Environment issues ujitolee. Kama Kuna ugumu wa kupata nafasi ya kujitolea,hebu watafute alumni wenzako wenye ujuzi tofauti na kwako muanzishe na kusajili non profit or profit NGO,then muanze kaze.
Karibu pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.