Habar za muda huu wana JF naomba kufahamu kuhusu uhalali wa tangazo hili kwa sababu ukiangalia tarehe ya tangazo ni 21/2/2022 wakati hii tarehe hata bado haijafika na kama ni halali vp kuhusu kufanikiwa kupata ajira hii ya muda
Habari nianze kwa kuwapa pole ya majukumu ya kila siku,
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni kijana nimemaliza chuo 2019 katika kada fulani ya afya na nikabahatika kufaulu na nimesomeshwa na kaka yangu, sasa baada ya kumaliza chuo nikarudi nyumbani na kuanza kutafuta ajira angalau nipate hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.