Njaa inamsumbua kitu cha kufahamu unapoenda upinzani ujue kabisa Hawakusanyi Kodi hivyo hawana hela za kukupa wewe hivyo lazima uwe na kazi ya kujiingizia kipato, Uzalendo unapatikana upinzani maana watu wanajitoa bila malipo kukijenga chama
Sasa unapoteza muda kwa nini , tena Nakushauri utafute muda wa kumsaprise huyo shemejiyo umpe uzao maana utakuwa umemlinda nduguyo ila Fanya kama unaiba ndo itakuwa tamu.
Mungu wa Mbingu asante kwa kujibu maombi yangu na maombi ya watanzania wengi, Kwa maombi tuliyopoga hata Waliompiga risasi Lisu wamejikuta wakimwombea apone ili waende kwake kumwomba msamaha
Nimenunua nyumba nyumba, aliyenuuzia alidai hati imepotea na badala yake akaileta hati ya kiapo ya mahakama kwamba hati nyumba imepotea, baada ya kuniuzia nyumba miezi mnne badae wkaja watu wa Benki na nyaraka zote kwamba nyumba ile iliwekwa bondi na wanataka kuiuza kwani mteja wao ametoroka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.