Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Sasa afanyeje jamani?Kweli kukosa mtoto ni shida kama ilivo kilema kingine chochote, lakini kwenda kumt.o..m.b.e.sha mkeo kwa dume jingine kama unapeleka ng'ombe wako jike akapandwe ili abebe mimba ni tatizo kubwa zaidi na uzwazwa wa kiwango cha uprofesa