Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,546
- 3,549
probation ni miez mi3 ambayo ilishapita na kuhusu uthibitisho wa kutoka kwa mwajiri hakuna ila kuna documents za kampuni ambazo zina jina langu na sain zangu na mm ninazo,pia kuna kaz za online ambazo zimekuwa registered kwa jina langu na email yngu kwa ajil ya kampuni, so km mwajiri akinikana naeza tumia hzo au?Shida inakuwa kwenye uthibitishaji wa hiyo ajira baada ya hapo kutokana na uthibitishaji ndipo nafuu pia hupatikana kwa mfano wewe unasema unazaidi y mwaka swali ni je kipindi cha majaribio kilikuwa ni cha mda gani na je ajira yako ilidhibitishwa
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app