Nakushauri mwache aende na watoto
Nakushauri muache aende na watoto ni muhimu. Watoto katika umri huo wanahitaji Malezi ya mama Sana kuliko baba. Hivyo mtafutie Dada wa kazi atakayekua anamsaidia majukumu. Pia hakikisha unakuwa karibu na mke wako kwenye mawasiliano, kila wakati na kumpa moyo...
Madhara makubwa ni kufa maskini maana huwezi kuwa na Social Capital kama wewe ni Mzee Wa Ganzi. Wengi watakuangalia maana utaona Kama unajipendekeza kutokana na mitizamo yako.
Dah acha kabisa kifo cha Maji kilinikosa Mwaka 2000, nilikuwa nimeenda kuvua samaki MTO wenye kina kirefu wenye mamba. Sasa tumevua tumemaliza ile naenda kupanda mtumbwi tu nikateleza na kuzama kutokana na utelezi Wa mtumbwi kukaa na Maji. Nikapiga kikombe kimoja, Jamaa yangu akazama na kuniokoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.