Recent content by mumanyi

  1. M

    Nahitaji Printer ya Picha

    Habari wakuu, mwenzenu nahitaj kuongeza huduma ya kusafisha picha za kawaida pamoja na passportsize ktk ofis yangu,niko maeneo ya kijjn ningependa kupata walau EPSON used naweza kuipata wap na kwa bei gani? Niko Bukoba
  2. M

    Nakopaje online na Tanzania Vision Fund?

    Habari wapendwa, nimesikia kuna uwezekano wa kupata mkopo online kutoka kwa Tanzania Vision Fund. Je, kuna mwenye ufahamu na jambo hilo na inakuwaje?
  3. M

    Foundation course za Ualimu wa Diploma

    sometimes no research no right to say! nimefuatilia sana na NACTE wameanzisha kitu hicho,haf kama mtu alipata division iv akiwa na pass 4 akachukua certificate yoyote ktk vyuo vinavyotambulika na NACTE anaruhusiwa kuaply Diploma in primary eduction,tusikalie kusema mara utapeli mara hakuna kitu...
  4. M

    Foundation course za Ualimu wa Diploma

    Habari za majukumu wadau wa elimu.Nasikia eti vyuo vya ualimu wa shule ya msingi vinatoa foundatio course ya mwka mmoja kwa wanafunzi wa kidato cha nne wenye dvn 4 ya pass 4 na kuendelea ambao hawana sifa za kusoma 'diploma in primary eduction' then wakifuzu wanaendelea na hyo diploma.Naomba...
  5. M

    Kusomea Sekondari (A-Level) nchini Uganda

    asante ndg,ngoja nipambane,nimeshauriwa kuwa ada ya kule uganda ni nafuu ukilinganisha na tanzanian private schools
  6. M

    Kusomea Sekondari (A-Level) nchini Uganda

    asante wakuu,nimefurah kwa ushauri wenu.kuna watu wanasemda uyet vya uganda vinakuwa na utata kwa huku,au ni negative ideologies
  7. M

    DON'T GIVE UP!! THERE WHERE A WILL,THERE ARE WAY

    kijana wangu ana C ya kiswahl na geography kwa last year akiwa na point 30, ameresit ths time amepata credt ya 3 ya history akiwa na point 29,nimefkria kumpeleka form five private au kuna namna nyngne nifanye?
  8. M

    Foundation Course ya Open University

    kwa open unaweza kupata na baadhi ya vyuo lakini sina uhakika kama mkopo wanatoa
  9. M

    Kusomea Sekondari (A-Level) nchini Uganda

    Mdogo wangu ana Credt tatu amezipata kutokana na mitihani miwili yaan crediti mbili za mtihan wa kwanza na moja ya kuresit.Naomba mwenye ufahamu anielekeze kama naweza kupata shule na kwa vipi
  10. M

    Msaada wa mawazo kuhusu masomo

    Mdogo wangu alifanya mtihani wa kwanza akawa na C mbili za geografy na history.Akaresit sasa amepata C moja ya History.Je anaweza kwenda advance private kwa kutumia mitihan miwili hyo? au anaweza kupata mahali pa kwenda? naomba mnielekeze nipate kumsaidia mdogo wangu
  11. M

    Post graduate Degree

    Asante,Degree ni hyo hyo education # masiya
  12. M

    Post graduate Degree

    chuo chochte cha bei nzr
  13. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Habari ndgu,nimekuwa na tatizo la kukosa usingizi usiku,muda mwingine inanichukua masaa kama matatu kuupata baada ya kulala,nikishutuka usingzn ndo siupat tena had asubuh,nilipitiwa nkacnzia mchana hat kwa dk kdgo uck ndo nakesha kabisa,nipen ushauri make hili jambo laweza kuathiri afya yangu
Back
Top Bottom