Heshima kwenu wanajamvi.
Naomba yeyote mwenye uelewa kuhusu Foundation Course ya OUT anisaidie maswali yafuatayo:
1. Je, mhitimu aliyefaulu anaweza kuapply University moja kwa moja kupata degree?
2. Ikiwa anaweza kuapply, lazima iwe OUT pekee, au chuo kikuu chochote kile?
Naomba kuwasilisha & naamini mtanisaidia.
Naomba yeyote mwenye uelewa kuhusu Foundation Course ya OUT anisaidie maswali yafuatayo:
1. Je, mhitimu aliyefaulu anaweza kuapply University moja kwa moja kupata degree?
2. Ikiwa anaweza kuapply, lazima iwe OUT pekee, au chuo kikuu chochote kile?
Naomba kuwasilisha & naamini mtanisaidia.