kivipi ndugu yangu ebu fafanua kidogoAnaweza akasoma uganda mkuu bila matatizo.. ila usimpeleke Kampala mjini pale asipo kuwa makini ataishia kukaa kitengo.. kisenyi.. bwaise.. chikoni.. lubaga road.. veez club.. kabagalaa.. na mitaa ya Najja.. uganda kuna maeneo yana itwa mwananyamala na manzese huko full watz.. na asilimia kubwa ya watoto wa shule wanaoishi vitengo.. kama unataka mpeleke shule nje ya kampala.. kama Mukono.. Lugazi.. Entebe.. na mtafutie shule taiti na akitaka kuhama mkatalie... na uwe na mawasiliano na mwalimu.. uganda bila kutembea na Mungu kumaliza shule ni ngumu aiseee namshukuru sana Mungu.
Hata ukimpeleka shule za Masaka pia anaweza soma lakin hakikisha unampeleka shule ambayo una usimamiz mzuri km Masaka Sec, Blessed sacrament, Bukalasa sem, St. Henry's kitovu na nyingine km hzo hzo ni shule ambazo ukimpeleka mtoto kushinda ni uhakika na akirud Tanzania anaendelea na chuo bila kujali matokeo ya O level lakn km ukimpeleka Ug hakikisha anasomea shule utakayompeleka kwel watoto kule wanaharibika km alivyosema mkuu hapo!Mdogo wangu ana Credt tatu amezipata kutokana na mitihani miwili yaan crediti mbili za mtihan wa kwanza na moja ya kuresit.Naomba mwenye ufahamu anielekeze kama naweza kupata shule na kwa vipi
Hata ukimpeleka shule za Masaka pia anaweza soma lakin hakikisha unampeleka shule ambayo una usimamiz mzuri
Kweli kabisa ni hatari sana ila hzo shule nilzotaja ni haki sawa kwa wote...!Taabu Uganda kuna kama mifumo miwili isiyo rasmi.Utakuta shule wako strict sana kwa watoto wao wa Uganda lakini ikija kwa watoto wanaotoka nchi zingine kama Tanzania wanawaambia hadi walinzi magetini kuwa muwaache huru wanatulipa dola ada nk waachieni wawe free.Kwa hiyo unakuta wanaharibika kwa starehe na umalaya.Hawarudi mabwenini au wanarudi usiku wa manane wamelewa nobody cares.Walimu wengine wakijaribu kuwakemea watoto hutishia kwa kusema nitawaambia wazazi wangu Tanzania wanihamishe hii shule haifai.Na mwenye shule anakuwa mkali hakubali waondoke aweza hata mtimua huyo mwalimu.
Lakini cha kushangaza kwa watoto wa kiganda wao wanakuwa tofauti.Mlinzi getini anaambiwa kabisa hao wa kiganda wanaruhusiwa kutoka mara chache kwa ruksa maalumu na taarifa ifike hadi kwa mzazi.
Na watoto wa kitanzania wakifika kule kuna pepo la ngono Uganda wala siyo siri.Mtoto awe wa kiume au wa kike pengine kabla hajaenda inatakiwa umpeleke kwa waganga au wafunga mapepo ya ngono makanisani ili akienda Uganda yasije mparamia akaanza kuparamia au kuparamiwa hovyo mapepo ya ngono yakimpanda.
Kwa maadili shule zetu nyingi zinajitahidi.Ushauri wangu labda ujaribu pia shule za kenya.Kule nyingi angalau zinajitahidi kuwa strict kwa watoto kuliko Uganda.
hahahahaa... mkuu usinichekeshe.. mbona mimi nimesoma huko nasiko hivyo usemavyo.? inategemea ni shel gani umempeleka mtoto wako.. shule kama St Lawrence, Hana Mixed, Lubiri SS, au Kabojja Boys, usitegemeee matokeo mazuri.. actually most private schools are a pain in the a**Taabu Uganda kuna kama mifumo miwili isiyo rasmi.Utakuta shule wako strict sana kwa watoto wao wa Uganda lakini ikija kwa watoto wanaotoka nchi zingine kama Tanzania wanawaambia hadi walinzi magetini kuwa muwaache huru wanatulipa dola ada nk waachieni wawe free.Kwa hiyo unakuta wanaharibika kwa starehe na umalaya.Hawarudi mabwenini au wanarudi usiku wa manane wamelewa nobody cares.Walimu wengine wakijaribu kuwakemea watoto hutishia kwa kusema nitawaambia wazazi wangu Tanzania wanihamishe hii shule haifai.Na mwenye shule anakuwa mkali hakubali waondoke aweza hata mtimua huyo mwalimu.
Lakini cha kushangaza kwa watoto wa kiganda wao wanakuwa tofauti.Mlinzi getini anaambiwa kabisa hao wa kiganda wanaruhusiwa kutoka mara chache kwa ruksa maalumu na taarifa ifike hadi kwa mzazi.
Na watoto wa kitanzania wakifika kule kuna pepo la ngono Uganda wala siyo siri.Mtoto awe wa kiume au wa kike pengine kabla hajaenda inatakiwa umpeleke kwa waganga au wafunga mapepo ya ngono makanisani ili akienda Uganda yasije mparamia akaanza kuparamia au kuparamiwa hovyo mapepo ya ngono yakimpanda.
Kwa maadili shule zetu nyingi zinajitahidi.Ushauri wangu labda ujaribu pia shule za kenya.Kule nyingi angalau zinajitahidi kuwa strict kwa watoto kuliko Uganda.
Mkuu, Masaka Sec pia kuna starehe za ajabu..na pia mpira unawazidi nguvu.. Shule nzuri ziko wilaya za Wakiso na Mukono.. St Henrys Kitovu is a school of smart gentlemen..Hata ukimpeleka shule za Masaka pia anaweza soma lakin hakikisha unampeleka shule ambayo una usimamiz mzuri km Masaka Sec, Blessed sacrament, Bukalasa sem, St. Henry's kitovu na nyingine km hzo hzo ni shule ambazo ukimpeleka mtoto kushinda ni uhakika na akirud Tanzania anaendelea na chuo bila kujali matokeo ya O level lakn km ukimpeleka Ug hakikisha anasomea shule utakayompeleka kwel watoto kule wanaharibika km alivyosema mkuu hapo!
mkuu uko sahihi.. mtoto akianza kushinda bwaise au kabalagala, au kamwokya ujue ndo keshaharibika... kule ni kuvuta bangi na kula rolex..period.Anaweza akasoma uganda mkuu bila matatizo.. ila usimpeleke Kampala mjini pale asipo kuwa makini ataishia kukaa kitengo.. kisenyi.. bwaise.. chikoni.. lubaga road.. veez club.. kabagalaa.. na mitaa ya Najja.. uganda kuna maeneo yana itwa mwananyamala na manzese huko full watz.. na asilimia kubwa ya watoto wa shule wanaoishi vitengo.. kama unataka mpeleke shule nje ya kampala.. kama Mukono.. Lugazi.. Entebe.. na mtafutie shule taiti na akitaka kuhama mkatalie... na uwe na mawasiliano na mwalimu.. uganda bila kutembea na Mungu kumaliza shule ni ngumu aiseee namshukuru sana Mungu.
Asilimia kubwa ya wanafunzi wa kitanzania wanao soma uganda husasani Kampala.. huwa wanapagawa sana na mji huo mwisho wa siku wengi wao wanaishia kukaa vitengo na kuacha masomo.. kama anataka mdogo wake apige shule ampeleke shule tight.. kama kisubi high.. st marry namagunga.. st marry kithende etc... ila shule nyingi nzuri zipo nje ya mji na mtoto akisema ana hama mkatalie.. hakikisha unapata namba ya mwalimu
Hiyo bugema adventist ni noma acha kabisa.. shule ya wasabato hiyo aaaah ukisoma hapo mwanzo mwisho wee co mchezo sasa wana chuo chao nacho ni balaaaa... Kabojja shule la kishua hilo.. kina cc tulio kuwa wafukuza mwenge scandinavia tulikuwa hatuwezi hapo... hizo shule zote zipo pouwa.. kampala mulunji seboOya Mbona Umesahau Kumtajia Na Shule ZILIZOTUKUKA Alizosoma GENTAMYCINE Za Bugema Adventist Secondary School ( O - Level ) Kule Luweero 1996 - 1999 Kisha Kabojja High School ( Advance Level ) Hapo Kampala 2000 -2001? au Unazionea WIVU Hizo Shule? Uzuri Wa Hizo Shule Zote Mbili HUSOMI Kama Huna AKILI Za KIYAHUDI au KITUTSI au Za KIZANAKI / KIYAO Ambazo Ni KUBWA SANA. Nifah, Mussolin5, UncleBen, kadoda11 Na miss chagga Nyie Nanyi MMESOMA Wapi? Ila Nataka Nichukue FURSA Hii KUWAPAKA Nyie Vijana Wa Sasa Mnaosoma Nchini Uganda Hebu Acheni USELA " Nnya " Kwani Mnatutia AIBU Sisi Kaka Zenu TULIOACHA REKODI Zetu Huko UNEB. Watanzania Mnaosoma Uganda Sasa Kutwa Mnashinda VIJIWENI Hapo Maeneo Ya Sokoni OWINO Na Katika Ile Gesti / Loji KIPENZI Ya Watanzania Wote Ya SAMALIEN Iliyopo Nyuma Tu Ya Uwanja Wa Mpira Wa Nakivubo Huku Wengine Kutwa Mkishinda Pale WANDEGEYA Njia Ya Panda Ya Kwenda MAKERERE University Mkinywa Gongo La MAPAPAI Na NDIZI Ile Ya Kiganda. Badilikeni UPESI Na HARAKA Kwani Tambueni Kuwa WAZAZI Wenu Huku Bongo WANAJINYIMA Kwa AJILI Yenu Halafu MNAWAANGUSHA. Sasa Mnachoniudhi Wengi Wenu Mnasoma Huko Uganda Miaka Yote Hiyo Halafu Mkija Tanzania VIINGEREZA HAMJUI Sasa Kwanini Msingebaki Tu Msome Huku Tanzania KAYUMBA PRIMARY SCHOOL? Napenda Mno Mwanafunzi MTUNDU, MTUKUTU Na MLA BATA Zote Lakini LIKIJA Suala La Masomo AKIFELI Sana Basi Ana B au B+. Mimi Nakumbuka Nilikuwa Nikienda Ama Mziki Enzi Hizo Club Silk au Angenoir au Nikienda Kubai " PAPUCHI " Pale Maeneo Ya Central Bank Of Kenya Nilikuwa Nabeba Notes Zangu MFUKONI Na Nikiwa Nacheza Mziki Mule Ukumbini Baadae " Najiiba " Kidogo Natoka Nje Natafuta Mahala NASOMA Kisha Narudi Ndani Kucheza Mziki Na Hata Nikiwa Nimeopoa Demu La KIGANDA Nikiwa Tu Chumbani Nikishamaliza " Kubatua " Angalau Goli Moko Namwacha Yeye ANAUSIKILIZIA " Mkuyenge " Wangu Huku Mimi Nikisoma Na Maisha Yanaenda. Nakumbuka MASELA Wengi Mno Walikuwa Wakiniiga Kwenda Town Lakini Nilichowafanyia Katika Matokeo Yangu Ya FORM FOUR NA SIX ( Uganda Wanaita SENIOR FOUR Na SENIOR SIX ) UNEB Na Wao Wanajua. Ukiwa MTUNDU Basi HAKIKISHA Pia Una AKILI ZILIZOTUKUKA. Ujumbe Huu Uwafikie Vijana Wote Wa Kitanzania Mnaosoma Huko Nchini Uganda.
Masesco mpira ni kwa ajili ya watu wenye bursary na wanafanyiea trials! Swala la kusoma na kuwalinda watoto wapo strict sana hawatoi ruhusa ovyo kwa wanafunzi. Ni na uhakika na hiyo shule kwa sababu kuna watu wengu waliokua wamekosa credit hapa tz wameenda Masesco wamepasua vizur advance sa hv wapo hapa bongo wanasoma vyuo vikuu pia kuna madogo wengine wamemaliza form six wamepata matokeo yao ni mazuri sana. Masaka sec ni shule ambayo haimpi mwanafunz mda wa kustarehe bali kusoma. Pia mpira una watu wake maalumu ambao wanasoma bure. Pia karo yao ni nzuri ukilinganisha na shule za wakiso mkono na k'la ambazo zinaendana na Masesco!Mkuu, Masaka Sec pia kuna starehe za ajabu..na pia mpira unawazidi nguvu.. Shule nzuri ziko wilaya za Wakiso na Mukono.. St Henrys Kitovu is a school of smart gentlemen..
Masaka sec ni shule ambayo inazingatia misingi ya dini ya kiislamu. Mkuu hcho unacho kisema hakipo pale boss!Mkuu, Masaka Sec pia kuna starehe za ajabu..na pia mpira unawazidi nguvu.. Shule nzuri ziko wilaya za Wakiso na Mukono.. St Henrys Kitovu is a school of smart gentlemen..
Nimeipenda hyo.... Rolex na kikomandoomkuu uko sahihi.. mtoto akianza kushinda bwaise au kabalagala, au kamwokya ujue ndo keshaharibika... kule ni kuvuta bangi na kula rolex..period.
hahahaa...kikomandoo.. nimekimiss lakini..Nimeipenda hyo.... Rolex na kikomandoo
mkuu, primary nimesoma masaka, kabla ya kwenda Kibuli for o'level.. Masaka SS wanasoma na kufaulu vizuri, lakini starehe pia hawana mfano.. Ballers wanaendekeza ngono kishenzi, na club ambiance hawakosi.. sema tuu Club Dorris imefulia, lakini nako pia walikua wana make headlines.. anyway, maybe wame change...Masaka sec ni shule ambayo inazingatia misingi ya dini ya kiislamu. Mkuu hcho unacho kisema hakipo pale boss!
Mijanjaro..bunyebwa...katogo. mixer butunda pembeni. ukipata hela zako scandinavia unashukia owino kwa mama nasra kugonga kiepe cha kibongo acha kabisa..hahahaa...kikomandoo.. nimekimiss lakini..
Yani I have memories of Uganda that I will never forget.. Na zile nightmares za kuchoma dormitories.... watu usiku mko prep...and then the blazes...!!!!Mijanjaro..bunyebwa...katogo. mixer butunda pembeni. ukipata hela zako scandinavia unashukia owino kwa mama nasra kugonga kiepe cha kibongo acha kabisa..