Foundation course za Ualimu wa Diploma

mumanyi

Member
Jul 18, 2015
19
4
Habari za majukumu wadau wa elimu.Nasikia eti vyuo vya ualimu wa shule ya msingi vinatoa foundatio course ya mwka mmoja kwa wanafunzi wa kidato cha nne wenye dvn 4 ya pass 4 na kuendelea ambao hawana sifa za kusoma 'diploma in primary eduction' then wakifuzu wanaendelea na hyo diploma.Naomba nieleweshwe kama ni kweli na ni vyuo gani vimeishaanza kutoa? Nitashukuru
 
sometimes no research no right to say! nimefuatilia sana na NACTE wameanzisha kitu hicho,haf kama mtu alipata division iv akiwa na pass 4 akachukua certificate yoyote ktk vyuo vinavyotambulika na NACTE anaruhusiwa kuaply Diploma in primary eduction,tusikalie kusema mara utapeli mara hakuna kitu kama hicho,fatilieni
 
Back
Top Bottom