Recent content by multikasuku

  1. M

    Tamko la pamoja la ITV, EATV, Channel 10, Clouds TV kuhusu kutoonekana kwenye ving'amuzi vya Azam, DSTV na Zuku

    Wenyewe wanadai eti "busara ya kawaida ilikuwa inatumika". If we want systems -- this is how systems operate hakuna umjomba na shangazi. Walikuwa wanalipisha vifurushi ili upate access ya hizo channel za free -- leo ndio wamekumbuka kuwa ni Free To Air -- tumbaku wakubwa.
  2. M

    Brain Teaser: Kwenye picha hii kuna kasoro gani? Wengi watakosa

    31 June -- June has only 30 days!!!
  3. M

    Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

    Nimeshakusoma wewe ndio haujanielewa vizuri. Huyo jamaa amefanya hayo aliyofanya baada ya mipango yake possibly michafu aliyopanga kuharibika. Huenda alishajipanga kuzitumia hizo wiki 2 kwa mpango ya kando akamkatie -- mara paap bidada hata safari haijafanyika. Hapo ndio povu lilipoanzia.
  4. M

    Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

    Alishajionea amepata visa ya wiki mbili -- mara hata siku moja haijatimia -- lazima atokwe na povu
  5. M

    Huu ulikuwa ni udukuzi wa penzi, wivu? Mke anisindikiza hadi Morogoro

    Subiri sasa mgombane baada ya yeye kusoma huu uzi na kuunganisha moja na moja kuwa ni mbili
  6. M

    Leo ni TBT hebu sema ni beat ya wimbo upi ambayo ukiisikia tuu inaanza unapagawa

    Beat zifuatazo; 1. Msela -- by Ngwair, Juma Nature & KR 2. Taswira -- Mandojo & Domokaya ft. Inspector Haroun
  7. M

    Pendekezo la gawio la hisa za Vodacom, najuta kununua hisa za Vodacom

    Twende kwa huyo mwenye hisa 1,000 ukikumbuka kila hisa ilikuwa sh 850/= hivyo aliwekeza laki nane na nusu (850,000) ili kuwa na hisa 1,000. Kapata jumla ya sh. 12,740 baada ya miezi sita. Bora angeenda kubet hiyo hela aisee!!!
  8. M

    Statement: Positive results from Buzwagi processing trial

    Je hizi ni dalili njema zimeanza kuonekana? -- nadhani kibano cha makinikia kimeanza kufungua alternatives! One could wonder why this alternative is only discovered now and not then. Time will tell. For further details; see press release attached or follow this link Positive Results from...
  9. M

    Mahakama Kuu yatengua Hukumu ya Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali

    Sizonje amejua namna ya kula na kipofu, hauoni vitu vinavyoendelea kwa sasa inaonekana kama uhuru na haki unatendeka kinamna fulani, yaani kwa ghafla kama upepo umegeuka! But wait, hamko huru kama mnavyodhani, watch it, not to that extent
  10. M

    Formula 1® Grand Prix special thread

    Naona kuna wale LH fanboys humu leo mko kimya kabisa
  11. M

    Formula 1® Grand Prix special thread

    Yes yes yes and yes again!! Ferrari did it this time! Bottas angakula tu kichwa cha hamilton ili drama zianze
  12. M

    Tafsiri ya Sizonje - Wimbo wa Mrisho Mpoto

    Mazafantaz Moderators..... kwa nini mmeleta uzi wangu wa "Ingia uyaone maajabu wa nyumba yetu" kwenye entertainment! Mimi niliuanzisha sikuwa na maana ya entertainment! Nilikuwa nashangaa "maajabu ya nyumba yetu" yaliyotokea leo! Nilikuwa namshangaa sizonje alikaribishwa vizuri akaoneshwa...
  13. M

    Tafsiri ya Sizonje - Wimbo wa Mrisho Mpoto

    ....na kamwe mtoto hawezi kuungua kwa kiazi kilichokuwa kwenye kiganja cha mama yake mzazi Njoo huku uone Sizonje
  14. M

    Tafsiri ya Sizonje - Wimbo wa Mrisho Mpoto

    Sizonjeee.......(tafsiri yangu) Karibu sana sizonje.... Huu hapa ni ua, lile pale ni shimo la taka na kile pale ni choo "Kinachotutisha na kutuogopesha zaidi, wanaoishi humu ndani hawajawahi kutupa taka wala kwenda chooni" Kumbe ulimaanisha watu hao hawali! Maana usipokula maana yake...
Back
Top Bottom