Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Mtu mzima kuamua kumtukana mwenzie hivyo hadharani lazima kunajambo, inawezekana yapo mengi zaidi ya hilo....

By the way, wakati mwingine wanawake mnakera tena sana, mi mwenyewe iliisha nitokea ya hivyo, nimejibana mtoto wa kiume angalau wife asipate dhahama ya kukaa masaa 14 kwenye basi, nikamega nusu ya mshahara nikamkatia tiketi ya ndege siku yenyewe inafika anajizungusha ndanii, namkumbusha muda una enda yeye hata hashtuki ndio anaanza nakufua, akachelewa shuttle....roho ikaniuma kweli, mtoto wa kiume nikajikaza na mihasira yangu nikawasha gari nimpele airport( hapo ni Arusha mpaka KIA) alipoona nimewasha gari na yeye akaamua kubadili tena nguo, nikazima gari, nimepiga simu mtu hatoki, kuingia ndani ndio kwanza anapanga begi limejaa balaa, nikamsaidia kulifunga, tumeondoka mpaka KIA watu wana board, ananiambia kasahau wallet na ina ticket tena akaanza kunilaumu mimi ndio nimemuwahisha mpaka kasahau, nikaidowload ticket nikampa...kule matangazo ndio yanazidi yeye ndio kwanza yuko kwenye kioo cha anarekebisha nywele...uvumilivu ulikwisha tho iam not proud of lakini nilimpa mabanzi mawili naona akili yake ikarudi, na ninashukuru hajawahi kuniuliza kwa nini nilimpa mabanzi na tangu siku hiyo kama anataka ndege atumie mshahara wake.......kwa hiyo haya mambo wakati mwingine wanawake mnatuuzi mno. Ingawa sitetei lakini inawezekana jamaa uvumilivu umefika mwisho, wenzenu roho zetu ndogo mjue!
hahaha pole mkuu.

ndicho nilieleza huko nyuma.

wanawake wanajijua wenyewe.

Atakuambia mwenyewe nimepata email ya wateja madagascar wanahitaji mzigo. Anahitajika mtu aende.

mnashauriana aende yeye anakubali kabisa na mnabook ticket. Zinabaki siku tano anakuambia sijisikii kwenda. sababu ni nini sijiskii kwenda wewe nenda.

anakuja anabadilika tena anaamua kuondoka. siku ya kuondoka anaanza mizengwe. hajaandaa chochote. Nusu saa imebaki ndiyo anaanza kujipanga.

Lazima ukasirike kama hauna break matusi hayakukauki.
 
Alishajionea amepata visa ya wiki mbili -- mara hata siku moja haijatimia -- lazima atokwe na povu

Mkuu ni sawa kugomba ila sio kutukana mbele za watu muite mkeo mueleze pole pole mwenzangu vp mbona unafanya mambo sio na unajua pesa ngumu kipindi hiki? atakuelewa na ata omba msamaha sio kumchamba kama vile unamsuta.
 
ongea na rafikiyo unaweza kumsaidia........mwanaume unamchambaje mkeo hadharani......hata kama ushamchoka.....kuna kitu sitara......msitiri mwenzio.......muachane kwa amani....

Shogangu nimemwambia kwanza watoto wake wadogo pili nilazima akubali hulka ya mumewe na ajaribu kuibadilisha lakini mmm inataka moyo sana mkuu.
 
Hiyo sio sababu iliyoleta hayo masimango yote na kutishia ndoa kuvunjwa, kuna zaidi nyuma ya pazia hayajawekwa hadharani.
 
Mkuu ni sawa kugomba ila sio kutukana mbele za watu muite mkeo mueleze pole pole mwenzangu vp mbona unafanya mambo sio na unajua pesa ngumu kipindi hiki? atakuelewa na ata omba msamaha sio kumchamba kama vile unamsuta.


Nimeshakusoma wewe ndio haujanielewa vizuri. Huyo jamaa amefanya hayo aliyofanya baada ya mipango yake possibly michafu aliyopanga kuharibika. Huenda alishajipanga kuzitumia hizo wiki 2 kwa mpango ya kando akamkatie -- mara paap bidada hata safari haijafanyika. Hapo ndio povu lilipoanzia.
 
Ni utoto tu; mi ninavyompenda Mama watoto wangu, miaka 23 niko naye; kwanza akisafiri huwa naishiwa hata raha. Siku akirudi huwa namkaribishia chumbani; kabla ya yote ni kuonana tukiwa kama tulivyozaliwa. Nitaanzia wapi kumtukana my!?

Mwanamke mwezangu anarahaa
 
Mtu mzima kuamua kumtukana mwenzie hivyo hadharani lazima kunajambo, inawezekana yapo mengi zaidi ya hilo....

By the way, wakati mwingine wanawake mnakera tena sana, mi mwenyewe iliisha nitokea ya hivyo, nimejibana mtoto wa kiume angalau wife asipate dhahama ya kukaa masaa 14 kwenye basi, nikamega nusu ya mshahara nikamkatia tiketi ya ndege siku yenyewe inafika anajizungusha ndanii, namkumbusha muda una enda yeye hata hashtuki ndio anaanza nakufua, akachelewa shuttle....roho ikaniuma kweli, mtoto wa kiume nikajikaza na mihasira yangu nikawasha gari nimpele airport( hapo ni Arusha mpaka KIA) alipoona nimewasha gari na yeye akaamua kubadili tena nguo, nikazima gari, nimepiga simu mtu hatoki, kuingia ndani ndio kwanza anapanga begi limejaa balaa, nikamsaidia kulifunga, tumeondoka mpaka KIA watu wana board, ananiambia kasahau wallet na ina ticket tena akaanza kunilaumu mimi ndio nimemuwahisha mpaka kasahau, nikaidowload ticket nikampa...kule matangazo ndio yanazidi yeye ndio kwanza yuko kwenye kioo cha anarekebisha nywele...uvumilivu ulikwisha tho iam not proud of lakini nilimpa mabanzi mawili naona akili yake ikarudi, na ninashukuru hajawahi kuniuliza kwa nini nilimpa mabanzi na tangu siku hiyo kama anataka ndege atumie mshahara wake.......kwa hiyo haya mambo wakati mwingine wanawake mnatuuzi mno. Ingawa sitetei lakini inawezekana jamaa uvumilivu umefika mwisho, wenzenu roho zetu ndogo mjue!

ila wife nae alizid uzembee,wkt mwngne usimpige mabanzi hadharani jmn🤣
 
Aah jamaa yy alishapanga ratiba na miad kibao sa kapanic kusikia bibie karud duh ukinitukana hvo naendup
 
Hapo ukute jamaa ndo katoa hela ya safari

Kwa nini asiwake

Pia jua wanajuana hao

Hakuna kosa kwa wote wataelewana tu
 
Mkuu imebidi nicheke sometimes yes tunadeka mkiwepo,sasa hapo ulikua wewe na yeye yule anabwata mbele yangu yani niaseme huyu angekua mume wangu mbona angenunua kesi kwa gharama kubwa sanaaa lol.
Huyo atakua alilimbikiza kesi za nyuma, sasa akapata pa kutolea mihasira bila kujua anajidharirisha, mwambie bibie a relax asifanya maamuzi ya kukurupuka, talaka hazina maana aisee
 
ila wife nae alizid uzembee,wkt mwngne usimpige mabanzi hadharani jmn🤣
Nilibeba sanduku mpaka pale entrance wanapokagua kuangalia sioni mtu, kurudi kwenye gari ndio nikamkuta kwenye kioo ndani ya gari, mabanzi nilimpa ndani ya gari sio hadharani, siwezi kumdhalilisha my bby mama hadharani aisee, sometimes akiwa hayupo hayomaudhi yake nayakumbuka halafu najikuta nammiss aisee...mapenzi bana, acha kabisa.
 
Back
Top Bottom