Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Why do people like being in a relationship with shit people.

From the looks of things I can assure you such an incidence isn't the first occurrence. It has probably happened before, most likely even when they were just dating.

Probably she thought he would change after the marriage.

Love is weakness...

And this incident doesn't imply that, this couple doesn't have peaceful moments.

BTW, naamini hakuna lawama zinazotoka bila kusukumwa kuzitoa.
 
You see now.

huenda kapoteza deal hapo kubwa tu... alimkoromea kama business partner.

mpe pole.
Mkuu hakuna asiegombezwa na mumewe its normal kwa wanandoa ila kile chakumwambia asirejee nyumbani na kumsemea ovyo bila hata aibu tena mbele yangu na mdogo wake sio sawa,kwanini asimuite ndani au kwanini asimchukue kwenda nae kwake?
 
Mkuu hakuna asiegombezwa na mumewe its normal kwa wanandoa ila kile chakumwambia asirejee nyumbani na kumsemea ovyo bila hata aibu tena mbele yangu na mdogo wake sio sawa,kwanini asimuite ndani au kwanini asimchukue kwenda nae kwake?
Ni makosa nikifanya hivyo sikuheshimu.

Ila inawezekena ni hasira na mfululizo wa matukio yaliyojitokeza hadi ikapelekea kusema hivyo.

Ajifute vumbi asamehee yaishe..yanatokea makubwa zaidi ya hili watu wanasahau.
 
Sasa kwa vyuma HV na kukaza huku ,ukute jamaa kajibana kapesa kake ka kudunduliza half mke anaachwa na ndege kizembe daaah.....hasara hz.....ila kumtusi jamaa nae kakosea japo stms n hasira tu
 
Wako na watoto wa3 ndoa miaka 6 na zaidi.

Basi mwambie rafiki yako asichukue maamuzi magumu, ajipe muda tu huyo mhuni hasira zitaisha atarudi kuomba msamaha, lakini amweleze ukweli kabisa kuwa hicho alichofanya ni ujinga, alikosa busara. Hatukatai sometime kina mama wanakuwa na uzembe lakini na yeye apunguze hasira na aangalie namna nzuri ya kuongea na mkewe hata kama kamuudhi.
 
Basi mwambie rafiki yako asichukue maamuzi magumu, ajipe muda tu huyo mhuni hasira zitaisha atarudi kuomba msamaha, lakini amweleze ukweli kabisa kuwa hicho alichofanya ni ujinga, alikosa busara. Hatukatai sometime kina mama wanakuwa na uzembe lakini na yeye apunguze hasira na aangalie namna nzuri ya kuongea na mkewe hata kama kamuudhi.
Inshallah asante mkuu kwa ushauri..
 
Love is weakness...

And this incident doesn't imply that, this couple doesn't have peaceful moments.

BTW, naamini hakuna lawama zinazotoka bila kusukumwa kuzitoa.
Yes, but with things like this, there is no true peace. Since she is always on the look out, because the guy can explode at her anytime.

But, as you've said, this is only one side to the story.
 
Mtu mzima kuamua kumtukana mwenzie hivyo hadharani lazima kunajambo, inawezekana yapo mengi zaidi ya hilo....

By the way, wakati mwingine wanawake mnakera tena sana, mi mwenyewe iliisha nitokea ya hivyo, nimejibana mtoto wa kiume angalau wife asipate dhahama ya kukaa masaa 14 kwenye basi, nikamega nusu ya mshahara nikamkatia tiketi ya ndege siku yenyewe inafika anajizungusha ndanii, namkumbusha muda una enda yeye hata hashtuki ndio anaanza nakufua, akachelewa shuttle....roho ikaniuma kweli, mtoto wa kiume nikajikaza na mihasira yangu nikawasha gari nimpele airport( hapo ni Arusha mpaka KIA) alipoona nimewasha gari na yeye akaamua kubadili tena nguo, nikazima gari, nimepiga simu mtu hatoki, kuingia ndani ndio kwanza anapanga begi limejaa balaa, nikamsaidia kulifunga, tumeondoka mpaka KIA watu wana board, ananiambia kasahau wallet na ina ticket tena akaanza kunilaumu mimi ndio nimemuwahisha mpaka kasahau, nikaidowload ticket nikampa...kule matangazo ndio yanazidi yeye ndio kwanza yuko kwenye kioo cha anarekebisha nywele...uvumilivu ulikwisha tho iam not proud of lakini nilimpa mabanzi mawili naona akili yake ikarudi, na ninashukuru hajawahi kuniuliza kwa nini nilimpa mabanzi na tangu siku hiyo kama anataka ndege atumie mshahara wake.......kwa hiyo haya mambo wakati mwingine wanawake mnatuuzi mno. Ingawa sitetei lakini inawezekana jamaa uvumilivu umefika mwisho, wenzenu roho zetu ndogo mjue!
 
Hao wanaume wa aina hiyo hivi bado wapo....kisa kuchelewa tuu?? kuna jingine ndani yake.....muulize rafikiyo vema..
Yap, yapo yanakera ila reaction yake inaonesha there is more to it...huko kuchelewa kume trigger tu mihasira ya nyuma.
 
Mtu mzima kuamua kumtukana mwenzie hivyo hadharani lazima kunajambo, inawezekana yapo mengi zaidi ya hilo....

By the way, wakati mwingine wanawake mnakera tena sana, mi mwenyewe iliisha nitokea ya hivyo, nimejibana mtoto wa kiume angalau wife asipate dhahama ya kukaa masaa 14 kwenye basi, nikamega nusu ya mshahara nikamkatia tiketi ya ndege siku yenyewe inafika anajizungusha ndanii, namkumbusha muda una enda yeye hata hashtuki ndio anaanza nakufua, akachelewa shuttle....roho ikaniuma kweli, mtoto wa kiume nikajikaza na mihasira yangu nikawasha gari nimpele airport( hapo ni Arusha mpaka KIA) alipoona nimewasha gari na yeye akaamua kubadili tena nguo, nikazima gari, nimepiga simu mtu hatoki, kuingia ndani ndio kwanza anapanga begi limejaa balaa, nikamsaidia kulifunga, tumeondoka mpaka KIA watu wana board, ananiambia kasahau wallet na ina ticket tena akaanza kunilaumu mimi ndio nimemuwahisha mpaka kasahau, nikaidowload ticket nikampa...kule matangazo ndio yanazidi yeye ndio kwanza yuko kwenye kioo cha anarekebisha nywele...uvumilivu ulikwisha tho iam not proud of lakini nilimpa mabanzi mawili naona akili yake ikarudi, na ninashukuru hajawahi kuniuliza kwa nini nilimpa mabanzi na tangu siku hiyo kama anataka ndege atumie mshahara wake.......kwa hiyo haya mambo wakati mwingine wanawake mnatuuzi mno. Ingawa sitetei lakini inawezekana jamaa uvumilivu umefika mwisho, wenzenu roho zetu ndogo mjue!
Mkuu imebidi nicheke sometimes yes tunadeka mkiwepo,sasa hapo ulikua wewe na yeye yule anabwata mbele yangu yani niaseme huyu angekua mume wangu mbona angenunua kesi kwa gharama kubwa sanaaa lol.
 
Back
Top Bottom