Oppo A5 (2020) inatumia processor Qualcomm SDM665 Snapdragon 665 (11 nm), sio rahisi kuchezeshwa.
Jaribu search network manual. Nakumbuka kwenye issue ya network kuna vitu 2;
1. No service. Hii karibia 90% ni hardware
2. Emergency Call Only, mara nyingi ni Software jaribu kuchunguza vitu...
Sina hakika kama kuna official global rom kwa Oppo A57.
Ila unaweza jaribu njia hizi mbili.
1. Kuweka custom rom (njia ndefu na inaugumu wake)
2. Install Google Apps kwa Kutumia GAPPS Installer
Kama itakupa ugumu sana unaweza wasilina nami DM
Kwa wenye TV za LED, hizi TV ratizo lake kubwa ni kuungua taa.
Utajuaje kama imeungua taa? Washa Tv, je inatoa sauti ila hakuna picha? Mulika hata kwa mwanga wa simu yako utaona picha.
Zingine huwa zinaleta shida kwenye converter za picha.
Vyote hivyo vinarekebishika vizuri kabisa.
Pole sana,
Ukipigiwa simu, anayekupigia anapata majibu gani, haipatikani au inatumika?
Umejaribu kuweka lini tofauti na hizo?
Hakiki IMEI namba TCRA kwa kutume ujumbe wenye tarakimu 15 za IMEI za simu husika kwenda 15090. Kama jina linalokuja sio sawa na model ya simu yako kuna shida. Angalia...
iPhone 7 ni simu ambayo camera zake zinasumbua, ukiacha audio IC ugonjwa mwingine wa iPhone 7, hasa iPhone 7 Plus ni rear Camera kufail.
Hiyo muda mwingine inaweza sababishwa na kudondoshwa, lakini pia kuna ripoti toka kwa watumiaji wengine kwamba tatizo linaanza lenyewe tu.
Tiba hapo ni...
Ili kujua ubora nadhani tuangalie vitu gani wamefanya (mtu mmoja mmoja au chuo kizima).
Nimewahi sikia kwamba Udom wako vizuri kwenye Cyber kwa sababu chuo hicho ndo kilikuwa cha kwanza kuwa na course hiyo.
“If you know one thing, you know nothing”
Naogopa kusema kwamba MUST wako vizuri zaidi...
Root simu yako kwanza, pili download apm inaitwa Root Browser.
Fungua Root Browser nenda system chini kabisa utaona kitu Build Prop, click hapo chagua kufungua kwa Rb text editor. Ikisha funguka utaona maandishi mengi sana (kuwa makini) tafuta sehemu imeandikwa Android version (mfano 'android...
Hiyo ni project ya mwaka 2007. Lowassa alivyokuwa waziri mkuu alikuja Mbeya pia alitembelea kijiji chetu cha Mababu kwenye mhadhara alisema 'ntahakikisha umeme unafika vijiji vingi vya Mbeya, kikiwamo kijiji chenu' na utekelezaji ulianza 2008 mwanzoni.
Ko hoja ya umeme kwa Mbeya haijakaa sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.