Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,077
- 2,163
Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata
Naombeni msaada tafadharini
Naombeni msaada tafadharini