ukishazoea kutawaliwa akili, itakuwia vigumu sana kukubali ideas mbadala, nani asiyejua kuwa wanachofanya CCM, kinasemwa kwanza na CDM halafu wao wanakurupuka na kutekeleza, mifano; Katiba, Kupinga ufisadi (filosofia ya Magamba) na mengineyo mengi, amkeni wakuu kwenye usingizi wa pono wa miaka 50.