Watanzania waishio Marekani

Watanzania waishio Marekani

Incredible

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,031
Reaction score
1,604
Watanzania waishio Marekani siyo wote lakini baadhi yao yapo busy na kufungua matawi ya CCM pamoja na kumsifia Mwigulu Nchemba na wengineo wakati Rasimu ya Samweli Sitta inasema hivi kuhusu mtanzania diaspora:

1. Haruhusiwi kumiliki shamba Tanzania
2. Asiwe na makazi Tanzania
3. Atapewa kibali maalumu cha kuingia nchini lakini kina expire after seven months
4. Asigombee uongozi wa siasa Tanzania

MTANZANIA NI MTATA
 
Watanzania waishio Marekani siyo wote lakini baadhi yao yapo busy na kufungua matawi ya CCM pamoja na kumsifia Mwigulu Nchemba na wengineo wakati Rasimu ya Samweli Sitta inasema hivi kuhusu mtanzania diaspora:

1. Haruhusiwi kumiliki shamba Tanzania
2. Asiwe na makazi Tanzania
3. Atapewa kibali maalumu cha kuingia nchini lakini kina expire after seven months
4. Asigombee uongozi wa siasa Tanzania



CCM HOYEE

mjomba kama ni kweli mbona watakuwa wameua kabisa yaani hawa watu ni wabinafsi wakubwa sasa kuna haja ya diaspora kwenda kufungua kesi ya kikatiba kwa misingi ya ubaguzi mkubwa kwa maana hata wageni sheria haijawabana kama diaspora.

wageni wanaweza kuwa watanzania na pia kuwa na uraia wa nchi yao
wageni wanaweza kumiliki ardhi kama ile ya mashamba ya kapunga yanayomilikiwa kama sikosei na wacanada
sasa inawezekanaje watanzania waishio nje wawe treated kama criminals.
 
mjomba kama ni kweli mbona watakuwa wameua kabisa yaani hawa watu ni wabinafsi wakubwa sasa kuna haja ya diaspora kwenda kufungua kesi ya kikatiba kwa misingi ya ubaguzi mkubwa kwa maana hata wageni sheria haijawabana kama diaspora.

wageni wanaweza kuwa watanzania na pia kuwa na uraia wa nchi yao
wageni wanaweza kumiliki ardhi kama ile ya mashamba ya kapunga yanayomilikiwa kama sikosei na wacanada
sasa inawezekanaje watanzania waishio nje wawe treated kama criminals.

Hii Ndio Tanzania kila kitu kinawezekana ! Katiba ya wachache Mda si mrefu itapitishwa na wengi watalazimishwa waikubali , lazima ipite hata kura za moini zikiikataa Watachakachua Maoni ya Wananchi na kuja na Matokeo Kuwa wengi wameikubali katiba, Mechi ilishachezwa nje ya Uwanja mapema na Matokeo yanajulikana. issue ya Uraia Pacha ni Jambo jema , suala la Zanzibar Kuwa na Rais anayekagua vikosi vya Ulinzi na usalama( Amiri jeshi Mkuu wa ZNZ) Hilo nalo ni Majanga ! iweje watu million 1.5 tu wawe na mamlaka kamili ? Huku watu million 45000 wa Tanganyika hawana mamlaka Yao , wapo busy kuwalea na kuwatunza wazanzibar kwa Mapesa mengi huku Tanganyika yenyewe ni shiiiiiiiida ! Zanzibar sasa ni Mkoloni wa Tanganyika anajilia pesa kiulaini tu,ni marufuku mtu wa bara kumiliki Ardhi ZNZ ,hata Pasport hawezi kupata japo wazenji waliopo Tanganyika wanamiliki Ardhi na Pass za kusafiria wanapata Pia bila kweree..kule ZNZ wana baraza la wakilishi si waziri wala Mbunge wa Tanganyika anagusa huko wakati pesa za kuwalipa posho zinatoka Hazina, Lakini wao Bunge la Dodoma wanalundika wabunge Utitiriri na kuvuna Posho hata kwenye vikao vya wizara ambazo si za muungano,Zenji ni wajanja mbele ya Tanganyika kwani kule Mbunge anawakilisha jimbo Dogo Kama kitongoji huku Bara hivyo ka-Nchi kadogo lakini kana wabunge wengi Kama Nzige na wote wananenepa kwa Pesa za Tanganyika huku bungeni wengi huwa hawana hoja za kusisimua ! Hiyo katiba ya ccm kwa kweli ni katiba ya wachache ambayo italazimishwa wengi waitumie kwa nguvu wapende wasipende.
 
Watanzania waishio Marekani siyo wote lakini baadhi yao yapo busy na kufungua matawi ya CCM pamoja na kumsifia Mwigulu Nchemba na wengineo wakati Rasimu ya Samweli Sitta inasema hivi kuhusu mtanzania diaspora:

1. Haruhusiwi kumiliki shamba Tanzania
2. Asiwe na makazi Tanzania
3. Atapewa kibali maalumu cha kuingia nchini lakini kina expire after seven months
4. Asigombee uongozi wa siasa Tanzania



CCM HOYEE
Hii ndio Tz zaidi ya Uijuavyo lakini pamoja na Ujanja wao wote , Zanzibar sasa ni Wakoloni wa Tanganyika wananyonya Tokea Utotoni hadi sasa Uzeeni wamezidisha Kasi, huu muundo wa katiba ya kijanja janja ni mbinu ya Wazenji kujisafishia njia ya kuendelea kuzifaidi pesa za Tanganyika kwa njia mbali mbali ikiwemo ya kuwa na wabunge wengi sana ikibidi hata wafike 5000 huku wakilazimisha wabunge wao wateuliwe Kuwa mawaziri kwenye wizara zote za muungano, Rais wa Zenji sasa anaandaa sarafu yake na Gavana wao kwa pesa hii hii ya Tanganyika ! Sasa jiulize Kama hapa Zenji penyewe pametushinda iweje huo Uraia Pacha? ikumbukwe Kuwa kuna watanzania wengi sana wapo nje na wanatamani kuludi kuja kuwekeza hapa Nchini lakini wamekwazwa na issue ya U-Raia Pacha.
 
Wazeji 1.5 million tu wanawapekekesha watu 45,ooo million kama nyumbu, sasa wao wana Serikali yao na katiba Yao ! na licha ya Kuwa na yao sasa hao hao wapo Dodoma kuandaa katiba ya wachache kuongoza Akili za wengi huku wakihakikisha hiyo katiba inalinda masilahi ya wazanzibar,na kuisahau Tanganyika ambayo imekuwa Buzi la kuchunwa Miaka nenda ludi.
 
Watanganyika inakuumeni sana Zanzibar, hebu angalieni thread iliyopo inajadili WaTZ waishio nje ya TZ kwa hiyo hiyo mada husika haina uhusiano kabisa na Zanzibar, lakini ile kuumwa nayo ndio lazima muweweseke juu ya ZANZIBAR.

Hao Wazanzibari kidogo hivi sasa wamo mbioni kupigania nchi yao pamoja na Tanganyika yenu ambayo munashindwa kuipigania juu ya wingi mulionao.
 
Mkuu, yaelekea we sio mzoefu wa hi nchi, sio kile kilichoandikwa ni lazima tukifuate; sisi tunafanya tunavyojisikia na sio tulivyoandika, unaijua vizuri historia ya mbunge wa kalenga wewe? Nina maana ya yule mototo wa Mgimwa, hivi nae si alikua diaspora? Mbaya zaidi yeye wala hakuzaliwa hapa, but you know what? He is a member of Parliaments!
 
Back
Top Bottom