Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,604
Watanzania waishio Marekani siyo wote lakini baadhi yao yapo busy na kufungua matawi ya CCM pamoja na kumsifia Mwigulu Nchemba na wengineo wakati Rasimu ya Samweli Sitta inasema hivi kuhusu mtanzania diaspora:
1. Haruhusiwi kumiliki shamba Tanzania
2. Asiwe na makazi Tanzania
3. Atapewa kibali maalumu cha kuingia nchini lakini kina expire after seven months
4. Asigombee uongozi wa siasa Tanzania
MTANZANIA NI MTATA
1. Haruhusiwi kumiliki shamba Tanzania
2. Asiwe na makazi Tanzania
3. Atapewa kibali maalumu cha kuingia nchini lakini kina expire after seven months
4. Asigombee uongozi wa siasa Tanzania
MTANZANIA NI MTATA