Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape anaitaji kwenda shule kwanza akasome, najitolea kumpa scholarship. simuelewi kama ana pinga au ana support ufisadi

mpatie scholarship mwenyekiti wenu mbowe ambaye ni kihiyo. nape amewakamata chadema pabaya.
 
Mafisadi A (CCM) vs. Mafisadi B (CDM) wanagombana!

Zinduka tumia akili fanya kazi zako achana wachumia tumbo kutoka pande zote..mbili
 
Hata mwenzako RZ1 alikuja na tambo za kushitaki watu mwisho wake hata waandishi wa habari kawasahau.Na wewe tunakusubiri kujiuzuru subiri mchuzi ukolee, utayakana maneno yako watu wanazo data zote hadi DVD
 
Mafisadi A (CCM) vs. Mafisadi B (CDM) wanagombana!

Zinduka tumia akili fanya kazi zako achana wachumia tumbo kutoka pande zote..mbili

Ha ha haaaaaa, ila mkuu aliyosema nape yana ukweli ndani yake ! tujiepushe na vurugu
 
Mafisadi A (CCM) vs. Mafisadi B (CDM) wanagombana!

Zinduka tumia akili fanya kazi zako achana wachumia tumbo kutoka pande zote..mbili

Aisee!!!! nimesoma mara mbilimbili post yako nikadhani imekosewa! siyo imekosewa kutoka kwako la! bali content zake ni kwelina hakika!

Siku zinakuja nazo zaja wakati kila kilichofichwa kitafunuliwa, kilichofanyika gizani kitaonekana nuruni.

Waliotoa povu na hasira za kutete watanyamazishwa kama ambavyo picha linavyoanza kugeuka taratibu.

Ufisadi ufisadi...CCM ufisadi, Chadema ufisadi...vyama vingine ndio usiseme, afadhali mara mia ya chadema wanaopiga vita kinafiki huku wakithibitisha nao ni mafisadi kuliko vyama vingine visivyokuwa vinafiki kwa kulalia ufisadi. Afadhali mara tisini ya mchawi kuliko mnafiki kuliko mbumbumbu anayefuata na kuamini kila jambo!
 
Hata mwenzako RZ1 alikuja na tambo za kushitaki watu mwisho wake hata waandishi wa habari kawasahau.Na wewe tunakusubiri kujiuzuru subiri mchuzi ukolee, utayakana maneno yako watu wanazo data zote hadi DVD

mama weeee!nape kama ulikurupuka kazi kwako.
 
nimeipenda hiii ya nape kumbe ndo alivyo hii ndo ccm na aina ya viongozi wake kumbeeee ikija inshu ya mikataba wanasaini tuuu kumbe imeanzia mbali ccm kitukoooooooooooooooooooooooo.watu peoples powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
ukishazoea kutawaliwa akili, itakuwia vigumu sana kukubali ideas mbadala, nani asiyejua kuwa wanachofanya CCM, kinasemwa kwanza na CDM halafu wao wanakurupuka na kutekeleza, mifano; Katiba, Kupinga ufisadi (filosofia ya Magamba) na mengineyo mengi, amkeni wakuu kwenye usingizi wa pono wa miaka 50.

Aisee!!!! nimesoma mara mbilimbili post yako nikadhani imekosewa! siyo imekosewa kutoka kwako la! bali content zake ni kwelina hakika!

Siku zinakuja nazo zaja wakati kila kilichofichwa kitafunuliwa, kilichofanyika gizani kitaonekana nuruni.

Waliotoa povu na hasira za kutete watanyamazishwa kama ambavyo picha linavyoanza kugeuka taratibu.

Ufisadi ufisadi...CCM ufisadi, Chadema ufisadi...vyama vingine ndio usiseme, afadhali mara mia ya chadema wanaopiga vita kinafiki huku wakithibitisha nao ni mafisadi kuliko vyama vingine visivyokuwa vinafiki kwa kulalia ufisadi. Afadhali mara tisini ya mchawi kuliko mnafiki kuliko mbumbumbu anayefuata na kuamini kila jambo!
 
siasa za maji taka BONGO

siasa za kutufanya tuwe masikini na wala sio siasa za kututoa hapa tulipo na kutupeleka pale

Siasa bongo ni za kukomoana na visasi kudidimizana kwa kila kitu

Siasa za bongo ni za mipasho kama taarabu hakuna kazi za kufanya za kimaendeleo

siasa hizi hazimfanyi mwana siasa kufikilia,kubuni,kudadabua na kujitolea kwa manufaa ya Taifa

tumebaki na fikla finyu na hasi zinazoelekea kuganda mwiso wa siku tunakimbilia kuomba misaada,kwani tumepoteza mda mwingi KULUMBANA
 
siasa za maji taka BONGO

siasa za kutufanya tuwe masikini na wala sio siasa za kututoa hapa tulipo na kutupeleka pale

Siasa bongo ni za kukomoana na visasi kudidimizana kwa kila kitu

Siasa za bongo ni za mipasho kama taarabu hakuna kazi za kufanya za kimaendeleo

siasa hizi hazimfanyi mwana siasa kufikilia,kubuni,kudadabua na kujitolea kwa manufaa ya Taifa

tumebaki na fikla finyu na hasi zinazoelekea kuganda mwiso wa siku tunakimbilia kuomba misaada,kwani tumepoteza mda mwingi KULUMBANA

Mkuu bange uliisha acha mzee ?
 
ukishazoea kutawaliwa akili, itakuwia vigumu sana kukubali ideas mbadala, nani asiyejua kuwa wanachofanya CCM, kinasemwa kwanza na CDM halafu wao wanakurupuka na kutekeleza, mifano; Katiba, Kupinga ufisadi (filosofia ya Magamba) na mengineyo mengi, amkeni wakuu kwenye usingizi wa pono wa miaka 50.

CDM wakiambiwa ukweli ndio huwa kauli zao hizi, ufinyu wa mawazo kabisa, amka kijana !
 
kweli nape ana akili finyu sana!haoni jinsi gani kenya wanavyoelekea kwenye demokrasia ya kweli?haoni mali ghafi toka tanzania na kufika kenya kupewa nembo ya made in kenya?kwa sasa dar inategemea nazi halisi ya kutoka mtini toka mombasa.kwa hiyo anataka tuwaachie nchi yetu waendelee kufisadi sio?aeleze stimulus package imetumikaje maana tayari kesi imefunguliwa tulipe tena 3trilion.tuchape kazi kwa mazingira yapi?
 
hawa ccm naona wamelala wanashindwa kutekeleza ahadi za kununua vizuko wanaongoza nchi kupitia cdm wafanyekazi kipindi chao cha mwisho wanaume tuingie kuikomboa nchi
 
Hili gazeti mbona halijaibalance hii taarifa?zimewekwa tuhuma za EPA na tuhuma za Nape kugombea Ubunge kupitia Chadema bila kuweka majibu ya Nape kwenye masuala hayo, hii sio sahihi, i guess hili ni la Tanzania Daima hili, gazeti la Uhuru la Chadema.

Kimsingi sioni hoja hapa, CCM inatambua kuwa kuna wanachama wake waliokuwa wamekatishwa tamaa na mwelekeo ya chama chao na ndipo walipokuja sasa na mpango wa kujivua gamba ili kuwarudishia wanachama hawa matumaini mapya na kuwafanya warudi kundini, kwa mantiki hiyo CCM hawana shida na Nape kuwahi kutaka kujitoa na kuanzisha CCJ, sasa pilipili wasiyoila yawawashia nini Chadema? naona Nape anawapa tabu sana.

Lakini lingine...hivi unaenda Mbambabay unaongelea mambo ya Nape na CCJ wakati wananchi unaowaambia ata hawajui kama CCJ ni mdudu au ni mnyama? Huku ni kupoteza nafasi ya kuwaeleza wananchi mambo yanayowahusu wao na maisha yao na namna gani Chadema itayabeba matarajio na changamoto zao kwa kesho bora zaidi.

Sasa na wewe mie nakushangaaaaaaaa, sijui ulikuwa unakunywa viroba kabla ya comment hii??? Habari inaonesha source ni Mwananchi, wewe unasema ni Tanzania daima, Uhuru la Chadema. Bahati mbaya jina lako halioneshi jinsi(sex) uliyonayo maana wengine huwa wanachemka humu tukiwamind wana tu PM kuwa tuwachunie maana ni wajawazito. Sasa na wewe sema kama u mjamzito. Nape alikuwa kazidi inabidi arekebishwe otherwise atapotea vibayaaaaaaaaaaaaa............... CCM watu wa visasi we wape muda utaone. Sekretariet iliyoundwa juzi itavunjwa abaki Mukama tu.
 
Mbona wanachokataza ndicho wanachokifanya? Huko Singida wanahamasisha uzalishaj mali?
 
Mimi naona imeshakuwa mipasho tena baina ya Chadema na CCM, nashangaa Chadema wote kila kukicha wana dili na Nape, huyu Dogo anajichukilia umaarufu bure, kama ile thread ya Nape na CCJ imejaza watu kuanzia asubuhi jana mpaka leo habari yenyewe kumbe ni ya kipuuzi tu
 
Kwa nn mnakata tamaa? Hizo ndo siasa za africa waachen wapambane kushabikia ruksa..siku zinaenda, 2nakufa, wanazaliwa wengine, kunakucha ivo ivo.. Ukichoka nenda msitun
 
Back
Top Bottom