East African Countries' Budgets

Ripoti iliyosomwa ya Bajeti ya Tanzania ina kurasa 126 wakati ile ya Kenya ina kurasa 32 na kwa hesabu ya haraka haraka ni kuwa bajeti ya Kenya imeandikwa kwenye karatasi ROBO (1/4) ya karatasi zilizotumika kuiandika Bajeti ya Tanzania
 
Ripoti iliyosomwa ya Bajeti ya Tanzania ina kurasa 126 wakati ile ya Kenya ina kurasa 32 na kwa hesabu ya haraka haraka ni kuwa bajeti ya Kenya imeandikwa kwenye karatasi ROBO (1/4) ya karatasi zilizotumika kuiandika Bajeti ya Tanzania

Asante mkuu kwa kutujulisha hilo,lkn kwa Tanzania ukija tu kwenye suala la uongozi kiukweli Serikali yetu ina viongozi wengi sana lisilokuwa ba tija kwa wananchi wake.
 
Uhuru Kenyata ni very bright sishangai hata kama ilikuwa kurasa moja ,,hili la kwetu ni tabulalasa yaani hotuba ndefu ka anasoma kanuni za TANU

Mkuu umeongea kwa hisia ata mimi huwa nona kama wanabadili figure tuu
 
....haya ni maendeleo ya Teknolojia kwa jirani zetu Wakenya ambapo Waziri wao wa Fedha Uhuru Kenyata jana aliwasilisha bajeti yake bungeni kwa kutumia iPad, badala ya ule utaratibu tuliouzoea wa kuja na briefcase lililojaa makaratasi na kuyasoma.
Challenge kwetu Bongo


ico_bookmark.png
javascript:void(0);
Pichani: Waziri wa Fedha akielekea bungeni na iPad

Submit Cancel




uhuru.jpg
Photo/STEPHEN MUDIARI/NATION Finance Minister Uhuru Kenyatta (centre) walks from Treasury to Parliament Buildings on June 8, 2011. He is accompanied by assistant minister Oburu Odinga (right) and PS Joseph Kinyua.
 
Ripoti iliyosomwa ya Bajeti ya Tanzania ina kurasa 126 wakati ile ya Kenya ina kurasa 32 na kwa hesabu ya haraka haraka ni kuwa bajeti ya Kenya imeandikwa kwenye karatasi ROBO (1/4) ya karatasi zilizotumika kuiandika Bajeti ya Tanzania

Jamani Kwa taatifa tu, ile ya Kenya sio bajeti, ni summary tu, Kenyatta hakuruhusiwa na Spika,kusoma bajeti kamili shauri hakufuata taratibu za katiba mpya. Na ilibidi asome summary for consistency of budget date with other EAC countries. Hivyo budget kamili inaweza kuwa na ukubwa mara mbili ya TZ, mwisho wa siku what matters ni contents
 
Mnapolinganisha ukubwa wa ripoti fulani kwa maana ya wingi wa kurasa mnatumia kigezo au vigezo vipi ili kusema hii ina kurasa nyingi kuliko nyingine? Je, bajeti ya Tanzania imeandikwa kwa kutumia "typeface" (font type) ipi, font size ngapi, line space (single, 1.5, au double), page margin size ngapi (Up, Bottom, Left and Right). Je, bajeti zote zimeandikwa kwa viwango vinavyofanana kama nilivyouliza hapa juu?. Kwa kuzisoma ripoti zote mbili utaona, ya Tanzania imeandikwa kwa maandishi makubwa (font size, nadhani 14 au 16), na pia ina double line space) hii ni kwa ajili ya urahisi wa kuisoma. Wakati ya kenya naona imeandikwa kwa single space na font size ya 12.
 
SIDHANI kama wingi wa kurasa ni tatizo kubwa content na dhamira ya dhati nyuma ya kile kinachosemwa kwenye but ndivyo labda vya kujadili.Haina maana naunga mkono pia document ya muhimu kama hii iwe ijae shukrani na pongezi
 
Jamaa kachemka, Bajeti ya kenya ina kurasa 32 wakati ya Uganda ni kama kurasa 18 hivi... Lakini kuna tofauti ya FONT SIZE kati ya bajeti hizo, font size ya bajeti ya Tanzania ni kubwa kuliko font size ya bajeti za Uganda na Kenya.... Hata hivyo, zingekua na font size zinazofanana bado bajeti ya Tanzania ingekua kubwa zaidi kuliko bajeti hizo zingine ambazo inawezekana zingefanana kwa ukubwa!?
 

Attachments

  • Kenya 2011-12 Budget.pdf
    1.2 MB · Views: 40
  • Uganda 2011-12 Budget.pdf
    1.4 MB · Views: 308
Ripoti iliyosomwa ya Bajeti ya Tanzania ina kurasa 126 wakati ile ya Kenya ina kurasa 32 na kwa hesabu ya haraka haraka ni kuwa bajeti ya Kenya imeandikwa kwenye karatasi ROBO (1/4) ya karatasi zilizotumika kuiandika Bajeti ya Tanzania

Ina kurasa 32 A4 papers size. 126/4 = 32, kumbe zinzlingana. Huyu jamaa anatudanganya.:confused2:
 
Hapa watu wanasema ukweli. Bajeti yetu sijui wataalam wanatoka wapi. Tukipiga kelele watabadilika. Inajirudiarudia mno na ina mambo ya kisera ya baadhi ya wizara wakati ingefocus kwenye nchi
 
1, tutaongeza kodi kwenye ushuru wa madini
2, tutaongeza ukusanyaji wa mapato
3, tutaongeza uzalishaji wa viwandani na kwenye sekta ya kilimo.
4, posho za vigogo wa serikali zitaondolewa kabisa.
5, semina elekezi zitaondolewa
6, matumizi ya serikali yatapungua kwa 50%
7, kipaumbele kitakuwa kwenye elimu, kilimo, na afya,
8, mishahara ya wafanyakazi itaongezeka kulinga na hali ya maisha ya sasa.
9, tutapunguza au kufuta kodi bidhaa za mafuta ili kupunguza ukali wa maisha kwa mwananchi wa kawaida.

HUU NI MFANO TU WA BRAA BRAA YA BUDGET YA TZ USIOHITAJI MAELEZO MENGI AMBAYO MWANACHI WA KAWAIDA HAYAELEWI, SIDHANI KAMA UNAWEZA UKAJAA UKURASA MZIMA. teh teh teh

Mkulo jana hakuwa anasoma Bajeti ya 2011/12 baali alikuwa anapiga siasa za kampeni kwa ajili ya Chama Cha Mafisadi-CCM Uchaguzi wa 2015!
Inasikitisha na inaudhi kusikiliza hotuba kama hiyo yenye maneno kama:SERIKALI YA CCM ILIYO SIKIVU IMEANDAA BAJETI KUMPUNGUZIA UGUMU WA MAISHA M-TZ KWA HIYO INAJIANDAA KUPUNGUZA BEI YA MAFUTA KATIKA MUDA WA MIEZI 3 IJAYO!!!!!!

  1. Mkulo hajasema atapunguza bei ya mafuta kwa kiasi gani! Huyu jamaa ni kibuyu kabisa. Maana kwenye kuongoza gharama za Sigara na Vinywaji tayari kaweka wazi ni asilimia ngapi zitaongezeka.
  2. Mkulo hajasema Mishahara ya Wafanyakazi itaongezeka kwa Tshs. ngapi.
  3. Mkulo hajatuambia atapunguza KODI YA P.A.Y.E. itapungua kwa asilimia ngapi.
  4. Mkulo hajatuambia Mrahaba wa KODI YA MADINI YETU ITAONGEZWA KWA % ili kuwafanya wawekezaji kwenye madini yetu watulipe vizuri.
  5. Mkulo hajatuambia ni misamaha gani ya KODI ameiondoa ili kuongeza wigo wa kukusanya mapato ya serikali.
  6. Mkulo hajatumabia kama Serikali ya Chama Cha Magamba wataachana na ununuzi wa MASHANGINGI na badala yake waanze kununua na kutumia magari madogo yenye bei nafuu na ulaji mafuta mdogo!
  7. Mkulo hajatuambia ni..................................???!!!!!
Generally speaking hii Bajeti ni usanii mtupu. Haina jipya,haina mkakati wowote wa kuboresha maisha ya Mtz wa hali ya chini. Nasema Hakuna! Anayebisha na ajitokeze turonge naye kwenye ukumbi huu.
 
Mimi nimefurahi kwamba budget ya Kenya pia imezingatia maoni ya wakenya kupitia Facebook, tweeter na si ajabu JF pia. Kuandika kwa ufupi ni ishara ya IQ!
 
To add an insult to the wound. Kenya ambayo ni nchi ndogo kuliko Tanzania ki-eneo, Kenya ambayo ina population ndogo kuliko Tanzania. Budget yake ya 2011/2012 imeizidi budget ya Tanzania kwa $ 5 Billion. Pia Kenya budget yake inategemea LESS kwa wafadhili ukilinganisha na budget ya Tanzania.

Halafu mnajindanganya tutashindanaya na Kenya kwenye soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki?!
 
Acha longolongo, hata ungeadjust ya Kenya kwenda double spacing na font 18 bado haitakuwa zaidi ya pg 50. Sema jingine!
 
To add an insult to the wound. Kenya ambayo ni nchi ndogo kuliko Tanzania ki-eneo, Kenya ambayo ina population ndogo kuliko Tanzania. Budget yake ya 2011/2012 imeizidi budget ya Tanzania kwa $ 5 Billion. Pia Kenya budget yake inategemea LESS kwa wafadhili ukilinganisha na budget ya Tanzania.

Halafu mnajindanganya tutashindanaya na Kenya kwenye soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki?!

waambie kaka
 
Mbona sioni ya Tanzania mnazungumzia sana tu za Kenya na Uganda. Tuwekeeni please wakubwa:lol:
 
Back
Top Bottom