MkuuMtarajiwa
Member
- Sep 7, 2010
- 57
- 10
Ripoti iliyosomwa ya Bajeti ya Tanzania ina kurasa 126 wakati ile ya Kenya ina kurasa 32 na kwa hesabu ya haraka haraka ni kuwa bajeti ya Kenya imeandikwa kwenye karatasi ROBO (1/4) ya karatasi zilizotumika kuiandika Bajeti ya Tanzania