Pia Dadangu shukuru MWAPACHU kutokuwepo maana nimzigo kwa Taifa hana jipya ila mipasho tu.
Kama umemsahau yeye alikuwa Mkurugenzi wa ATC akaifilisi-nabado ataramba mchanga maana Kisauji atamuanguangusha.
Alikuwa najeuri yamwaka kwakupatiwa vyeo vya fadhila-alifikia kusema kama hamtamchagua...
Shukran,Mheshimiwa Rais-kipindi chakulipa fadhila kimeisha sasa nikazi mbele kwambele.
Tulizoea sura ya Mwapachu na Mh.Kingunge naleo umechagua wachapa kazi wengine.
Alokutangulia(BM) hao aliwaita ASKARI WA MIAVULI sassa sijui wewe utawaitaje labda tuwaite JESHI LA UOKOVU.
Alikula rushwa sana,wakati alipokuwa waziri wa ardhi.
Kazi yake nakipato chake havilingani.
Anajuana sana namatajiri kuliko maskini.
Hulipa fadhila kwawana mtandao.
Nahulipa kisasi navitisho kwayule anaaemnyooshea kidole.
samahani,mwana JF kama kuuza nchi ilikuwa ni ajenda yakutosha ya Kaka Ben Mkao Wahapa-ameuza mpaka kachukiza.Aliweka mikataba mibovu mfano wake hakuna.Kwani watu wamesahau wale makaburu walokuja kuwekeza kwenye maji jijini kama hujui muulize huyo mchumba wa msanii jafarai maana alikuwa meneja...
Dadangu,ninavyohisi unamapungufu-kama kweli unayaweza kuwangangari.
1.Dalili nikuwa wewe ni Mtumwa wa mapenzi,kwamaana hilo ni penzi la upande mmoja.
2.Muda unakwenda nahaurudi nyuma,harakia maisha yako kabla hujaharibikiwa.
3.Kila Mwanaume anapenda Mwanamke mwenye mafanikio,epuka kuwa mzigo...
Ndugu usiwe kishoka-nipunde tulitoka kwenye utawala wa Mkapa.
Nandio chaguo la Mwalimu-alotuamrisha tufunge mikanda wakati huyo kijana wake amekaribia kupasuka kwa kufura.
Inajulikana yakwamba yeye ni MJASIRI MALI nakajilimbikizia-Mh.Butiku anajaribu kumnasihi,jamaa utadhani mbuzi kagoma...
iwe jinzi ama kitambaa basi tutavaa kitamaduni ikiwemo Lubega,rungu na sime kiunoni-maana nasikia anakuja pia kuhamasisha utalii hivo vazi hilo litasaidia.
Hapo,nikiruhusiwa basi nitaomba na Marekani waige mfano wa Waarabu waliomilikishwa LOLIONDO nawao ikiwezekana wawekeze Mikumi-je hapo mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.