Lowassa hafai kuwa rais,ni fisadi,mbinafsi, mbaguzi na dikteta. akipata urais atauwa upinzani,hakuatakuwa na uhuru wa habari,atawagawa watu kutokana na vipato na ukabila.ofisi zote za serikali zitajaa watu kutoka kanda ya kaskazini, na watoto wa wakulima wasahau kupata ajra yeyote serikalini.