Hivi karibuni msajili wa vyama vya siasa amekuwa mstari wa mbele kuonyeshwa kutokuridhishwa na baadhi ya vyama kuwafukuza viongozi wake.
Hatumuelewi Tendwa kuwa ni kweli anatetea kukua kwa demokrasia au anaionea huruma serikali kwa gharama za chaguzi ndogo.
Ikiwa anataetea kukua kwa demokrasia angeanza kwa kuilaumu serikali kwa kutumia hila kuzuia mgombea binafsi ingawa tayari ilishabwagwa mahakamani.
Ikiwa anatetea serikali kuhusu gharama ingekuwa bora kuishauri serikali kwa kutumiwa na chama tawala kuacha kupandikiza watu kwenye vyama vya upinzani kwani hii ni hatari.
Kwenye vyama vya uoinzani linapatikana jukwaa la kujadili siasa mbadala na ikiwa serikali na chama tawala watalivunja jukwaa hili ni wazi kitakachofuatia ni vurugu.
Ili vyama vya upinzani vikue ni lazima ijengwe nidhamu ya hali ya juu na ufuataji wa taratibu na kanuni uwe wa kiwango cha juu na yoyote anayekwenda kinyume hatua kali kuchukuliwa ni sahihi.
Alitimuliwa Rais wa Zanzibar itakuwa wabunge ambao wanaonyesha dhahiri kuvuruga upinzani?
John Tendwa tumia muda wako kuishauri serikali na acha vyama vya upinzani viendelee na "storming" kabla ya "normalization na performing"
Hatumuelewi Tendwa kuwa ni kweli anatetea kukua kwa demokrasia au anaionea huruma serikali kwa gharama za chaguzi ndogo.
Ikiwa anataetea kukua kwa demokrasia angeanza kwa kuilaumu serikali kwa kutumia hila kuzuia mgombea binafsi ingawa tayari ilishabwagwa mahakamani.
Ikiwa anatetea serikali kuhusu gharama ingekuwa bora kuishauri serikali kwa kutumiwa na chama tawala kuacha kupandikiza watu kwenye vyama vya upinzani kwani hii ni hatari.
Kwenye vyama vya uoinzani linapatikana jukwaa la kujadili siasa mbadala na ikiwa serikali na chama tawala watalivunja jukwaa hili ni wazi kitakachofuatia ni vurugu.
Ili vyama vya upinzani vikue ni lazima ijengwe nidhamu ya hali ya juu na ufuataji wa taratibu na kanuni uwe wa kiwango cha juu na yoyote anayekwenda kinyume hatua kali kuchukuliwa ni sahihi.
Alitimuliwa Rais wa Zanzibar itakuwa wabunge ambao wanaonyesha dhahiri kuvuruga upinzani?
John Tendwa tumia muda wako kuishauri serikali na acha vyama vya upinzani viendelee na "storming" kabla ya "normalization na performing"