Aliko Tundu Antipas Lissu

Aliko Tundu Antipas Lissu

Tindu Lissu ni kati ya wale wabunge ambao kwa lugha nyepesi wanaitwa 'one term' hivyo ni lazima ajipeleke sana kwa wapiga kura wake kubwa zaidi ni kuwaaga na si vinginevyo

Ni vizuri kujipa moyo!
 
YUKO JIMBONI.....!! ngoja wiki ijayo bunge likianza utamwona......!! na Jairo bado na Luhanjo haya haya....!!
 
Hana lolote, ni kilaza wa kutupwa chuoni kwenyewe alipata PASS kwa kubebwabebwa.

Uongo mwingine unatia aibu! Kwanza ni chuo gani hicho unachozungumzia? Kama haumfahamu mtu sio lazima kumzungumzia.
 
kweli kabisa, lile ni jembe la ukweli lisilioogopa yeyote
 
hivi wabunge wa ccm nao wako wapi jamani??? mi huwa namskia tu mbunge wa Ludewa kusini Deo Filikunjombe

hivi samson rweikiza ni mbunge wa waapi?.wabunge wengine bwana sijui wapo dunia hii.
 
Wadau
Ni muda mrefu sasa kamanda wetu hatujamsikia, mara ya mwishomm kumuona ilikuwa siku ya mdahalo alipomnyosha Mnyaa star tv, km kuna mtu ana taarifa za wapi yupo kamanda wetu atujulisha.

Yupo kwake na mke wake.
 
hivi samson rweikiza ni mbunge wa waapi?.wabunge wengine bwana sijui wapo dunia hii.

Ni mbunge wa jimbo la Bukoba vijijini mkuu,kwa aliyekuwa mh. Nazir Kalamagi....
 
Ni mbunge wa jimbo la Bukoba vijijini mkuu,kwa aliyekuwa mh. Nazir Kalamagi....

hivi aliishawahi kuongea bungeni au nikachukue jimbo?.tuache utani afadhal ya karamagi.hivi watu wengine wanaupata vp ubunge?
 
Jana tulikuwa naye kona baa tukikamua kwa kwenda mbeele!!
 
hivi wabunge wa ccm nao wako wapi jamani??? mi huwa namskia tu mbunge wa Ludewa kusini Deo Filikunjombe

Mkuu wapo kiaina wanafight,hujasikia Wasira,Mkono,Kabaka wanazunguka sehemu kadhaa za Musoma tatizo wanazomewa kila wafikapo,huku kamanda Vicenti Nyerere akipokewa kama mfalme kila afikapo mwanawane na yu peke yake yaani hadi raha
 
Wadau
Ni muda mrefu sasa kamanda wetu hatujamsikia, mara ya mwishomm kumuona ilikuwa siku ya mdahalo alipomnyosha Mnyaa star tv, km kuna mtu ana taarifa za wapi yupo kamanda wetu atujulisha.

Yupo class smewhr, anajpanga kupangua sheria mbovu!
 
jamani kwa yeyote mwenye taarifa yu wapi mbunge machachari wa chadema tindu lissu?kwa kumbukumbu zangu hata armeru sijamuona
 
Back
Top Bottom