alikua jimboni anashughulika na jimbo
Tindu Lissu ni kati ya wale wabunge ambao kwa lugha nyepesi wanaitwa 'one term' hivyo ni lazima ajipeleke sana kwa wapiga kura wake kubwa zaidi ni k
uwaaga na si vinginevyo
Ni jirani yangu, nimemuona jana nyumbani kwake Tegeta kibaoni.
Wadau
Ni muda mrefu sasa kamanda wetu hatujamsikia, mara ya mwishomm kumuona ilikuwa siku ya mdahalo alipomnyosha Mnyaa star tv, km kuna mtu ana taarifa za wapi yupo kamanda wetu atujulisha.
hivi wabunge wa ccm nao wako wapi jamani??? mi huwa namskia tu mbunge wa Ludewa kusini Deo Filikunjombe
Wapi mbunge mahiri Captain John Komba,mwenye uwezo wa kujenga hoja nzito bungeni
Ni jirani yangu, nimemuona jana nyumbani kwake Tegeta kibaoni.
Komba ni mbunge mwenyeuwezo wa kulala na kusinzia zaidi bungeni na si vinginevyo!
Anaifahamu KATIBA ya Zanzibar kuliko Wazanzibar wenyewe.naona amepunguza makeke saaana. au anamwogopa Juma Duni Hadji.
Wadau
Ni muda mrefu sasa kamanda wetu hatujamsikia, mara ya mwishomm kumuona ilikuwa siku ya mdahalo alipomnyosha Mnyaa star tv, km kuna mtu ana taarifa za wapi yupo kamanda wetu atujulisha.