She
Shida yeko wewe unalilia unedelee kulangua watu, yani wafanya biashara karibu wote wa bongo ukiwasikiliza hoja zao za msingi wanakwambia mchina kaaribu biashara eti kwakuwa anauza rahisi, yani rah yako ni wewe ama nyie muendelee kutuuzia kwa gharama za juu.
Shusha na wewe bei kupambana...
Siyo wamezoea magari ya kijapan lah, hawana elimu wanafanya kubahatisha, kwa wazungu hakuna kitu kama icho lazima mtu ukasoma system maalumu ndo ufanye nayo kazi
Unajua maana ya distribution transfomer na transmission transfomer? Kwa akili yako wahisi hiyo inakuja kukupelekea umeme nyumbn kwako. Ujinga mzigo mkaseme. Nyie ndo ambao mpo kama vishoka hamjui chochote kichwan kuhusu umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli huo ni ufahamu wako. Transformer hiyo unayo iona unahisi itakuwa ni distribution transfomer kweli? Si bora ungenyamaza uwaachie wenye fani zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nina s3 imeaza sumbua upande wa charge. unaweza weka kwenye charge baadai wakuta kama ilikuwa 30 sasa ni 10. yani inasumbua kweli nafanya kama kuitaiming
Mkuu nimecheka sana, ila huo ndo ukweli.
Wanazan hugumu huo walioupata kutokana na uelewa wao mdogo basi ni kwa kila mtu, yani wanatusumbua sana kwenye hizi college za engineering.
Huwa wanafundisha masoma kama english, kwakweli wanachekesha. yupo mmoja aliwapa wanafuzi assessment...
Mkuu nikweli kabisa, kuna chuo kimoja nilikuwa nipo nafundisha hapo cha engineering, hawa walimu by profession wanatusumbua kweli, kila kikuwa na kikao au semina hoja zao ni namna ya kusimama ubaoni na kumuangalia mwanafuzi. lakini hawajui chochote, mtu yupo pale kwa ajili ya kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.