Nyumba inapangishwa, 120,000

Nyumba inapangishwa, 120,000

Weka tangazo face book, uku atukutafuti. Tinajua wewe ni Walee mnaomshitaki mkulugenzi wa jamii forum. Mnaendelea kutafuta watu humu.
 
Weka tangazo face book, uku atukutafuti. Tinajua wewe ni Walee mnaomshitaki mkulugenzi wa jamii forum. Mnaendelea kutafuta watu humu.
Mkuu namba ipo hapo, ukiwa na nia unanipigia Tu, hata siwez jua wewe unatumia jina gani hapa
 
Manasa ="Darleen, post: 25031910, member: 466656"]Ameshasema ni mbezi msakuzi sema huko barabara ndo vumbi balaa.pia ili mambo yaende poa lazima uwe na usafiri binafsi[/QUOTE]
Mabasi yapo mpaka Usiku WA saa sita, tena madogo na makubwa
 
Yap, hela ya umeme imepelea, nataka mpangaji atayeniongezea hela ya umeme. Wengi wanataka umeme, nami kwa sasa sina uwezo, 1.5m


Blaza, lakin mbona nakuona unauza viwanja, unanunua magari, unauza magari.
Halafu unakosa 1.5 Million ya kuweka umeme????
Kuna kiwanja chako umekiuza 6.5M kabisa juzi juzi.
 
Blaza, lakin mbona nakuona unauza viwanja, unanunua magari, unauza magari.
Halafu unakosa 1.5 Million ya kuweka umeme????
Kuna kiwanja chako umekiuza 6.5M kabisa juzi juzi.
Bado hakijauzika, ndio nilitaka baadhi ya hela nihamishie huko. Gari kununua ni kwa ajili ya mishe zangu.
 
View attachment 623964 View attachment 607136 View attachment 607137 Wakuu habari za majukumu,
Napangisha Nyumba yangu. Hii ni mara ya pili naleta hili tangazo. Ila kuna baadhi ya vitu vimeboreka.
Sifa za Nyumba
-Vyumba vya kulala vitatu, kimoja master
Dinning
Jiko.
Sitting room
Tile kote
Varanda Mbili
Gypsum
Simtank
Rangi nyeupe, nje na ndani
Full fence
Ila Umeme mwezi ujao, kulikuwa na tatizo upande A kuvutia

Eneo: Ni mbezi msakuzi, kituo freetown

SimuView attachment 607133
120000 kwa mwez au
 
Mbona hutumie hzo picha mpya na umeme tayari? Mm kukiwa na umeme naweza kuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom