Tatizo la kutopeleka charge simu aina ya Samsung

Jagood

JF-Expert Member
Aug 15, 2016
2,137
2,385
Natumia simu aina ya Samsung s3 Neo nimepatwa na shida ya upande wa charging/battery. Nilikuwa kwenye matumizi ya simu ya kawaida baada ya charge kuisha ilizima nikaweka simu ipate charge lakin ni zaidi ya masaa 4 haija jaa na inaonesha Ina 12% tu. Jambo ambalo sio kawaida, nimejarib kuweka battery nyingine ilikuwa na 7% nayo imeonesha inapeleka charge lakini baada ya muda nakuta charge imeshuka mpk 5% na ikazima papo hapo. Nisaidieni plz
 
Hata mimi nina s3 imeaza sumbua upande wa charge. unaweza weka kwenye charge baadai wakuta kama ilikuwa 30 sasa ni 10. yani inasumbua kweli nafanya kama kuitaiming
 
Mimi pia nlikuwa na tatizo kama hilo kwenye s3, nkaja kugundua hizo simu zinabagua sana charger, haitaki iwe clone. Nlipo bahatisha charger nyngne original mambo yakawa fresh.
 
Mimi pia nlikuwa na tatizo kama hilo kwenye s3, nkaja kugundua hizo simu zinabagua sana charger, haitaki iwe clone. Nlipo bahatisha charger nyngne original mambo yakawa fresh.
Nimejaribu kubadilisha charger tatizo bado lipo pale pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom