Nyumba inapangishwa, 120,000

Nyumba inapangishwa, 120,000

[QUOTNiko mbaliikwetu, post: 23934504, member: 274503"]Tupia picha ya mwonekano wa Nyumba kwa nje na mazingira ya nje na mazingira ya majirani! Hayo yote ni muhimu![/QUOTE]
Mkuu niko mbali, hizo picha saivi sina, naishi mbali, na Dar, nipo mkoa mwingine
 
Mkuu ukifika mwezi wa kwanza 2018 hujapata mteja nijulishe. Nakuomba utunze kumbukumbu hiyo maana najiandaa kuhamishia familia yangu Dar mwezi wa 2 mwaka kesho
 
Wakuu habari za majukumu,
Napangisha Nyumba yangu. Hii ni mara ya pili naleta hili tangazo. Ila kuna baadhi ya vitu vimeboreka.
Sifa za Nyumba
-Vyumba vya kulala vitatu, kimoja master
Dinning
Jiko.
Sitting room
Tile kote
Varanda Mbili
Gypsum
Simtank
Rangi nyeupe, nje na ndani
Full fence
Ila Umeme mwezi ujao, kulikuwa na tatizo upande A kuvutia

Eneo: Ni mbezi msakuzi, kituo freetown

Simu 0716411720View attachment 607133
Nyumba safi kabisa aisee...bei chee. Watu mko wapi?
Vp kuhusu maji mkuu
 
Nyumba safi kabisa aisee...bei chee. Watu mko wapi?
Vp kuhusu maji mkuu
Mkuu maji kwa jirani yapo, amechimba kisima, zaidi ya hapo tunanunua kutoka kwa wapitishaji wa magari. Ila nadhani miezi kadhaa mbele kutakuwa na bomba la maji, maana mabomba yameanza kutandazwa
 
Mkuu maji kwa jirani yapo, amechimba kisima, zaidi ya hapo tunanunua kutoka kwa wapitishaji wa magari. Ila nadhani miezi kadhaa mbele kutakuwa na bomba la maji, maana mabomba yameanza kutandazwa
Bas mie nakutakia kheri mkuu, nyumba safi kabisa hyo mie tatzo ninakodi mizez miwili mbele la sivyo hzo ndo nyumba za kukaa
 
Yaani mkuu kungekua na umeme ningehamia mwezi ujao hata sababu mishe zangu kwa sasa nafanyia kimara asee.
 
Gharama nafuu sana na Nyumba ni kubwa,iko poa sana
 
Mbezi mwisho, unaingia Kwa Yusufu kama unaenda magohe, hapo katikati kuna kituo wanaita Freetown, ndio unashukia hapo. Dakika
tano kutoka barabarani
Mkuu ni dakika tano kutoka main road??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom