Kama Watibeli ni kabila basi ni mojawapo ya makabila ya hovyo kuwahi kutokea katika historia ya dunia
Kama ni falsafa haifai kusomwa na mtu yoyote anayejitambua.
Umeandika vitu usivyovielewa zaidi ya kujikweza na kujipa umuhimu wewe na watibeli wenzio.
Sema hii dunia ina ubabe mwingi sana
Marekani ana silaha nyingi za nuclear
Israel anazo pia na amegoma kusaini makubaliano ya kupunguza silaha za nuclear wala kuruhusu wakaguzi kwenye vinu vyake
Iran hana hizo nuclear na ameruhusu wakaguzi
Lakini bado kashambuliwa, watu wake wameuliwa na hakuna...
Mtoa mada na wewe huwa hakuna tofauti sababu kila mmoja anavutia kwake
Wewe huwa unaamini mwanaume ndo mwenye makosa na unawatetea sana wanawake bila kujali makosa yao, huo ndo u feminist wenyewe. Kama ungekuwa una balance you could have had a point
Nakuelewa sana ndugu nilipitia hiyo changamoto ya kuishi mbali na familia kidogo nipate uchizi. Nashukuru kwa sasa nipo na familia.
Ni raha sana kulea watoto
Mungu akufanyie wepesi
Mimi huwa natumia formula moja, sijui kama we itakusaidia.
Ninapopitia changamoto huwa najiuluza maswali kadhaa
Je mimi ni wa kwanza kupata hiyo changamoto??
Je changamoto zangu ni kubwa kuliko za mtu yoyote dunia nzima???
Mfano : mtoto wangu anaumwa sana hadi nakosa raha lakini unajua kuna mtu...
Mkuu naomba nikushauri kitu hapa
Nakuomba sana tena sana; USIKUBALI KURUDIANA NA HUYO MWANAMKE.
Ni kweli tunavumilia mengi kwenye ndoa lakini kwa mliko fika hutakiwi kurudi nyuma
Kama alikusaliti na bado akaenda mahakamani na kusingizia yote hayo sijui unapata wapi ujasiri wa kupata hata wazo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.