Recent content by mugomangara

  1. M

    Watibeli sio mbuzi wa kafara. Kamwe hatutakubali kugeuzwa chambo

    Kama Watibeli ni kabila basi ni mojawapo ya makabila ya hovyo kuwahi kutokea katika historia ya dunia Kama ni falsafa haifai kusomwa na mtu yoyote anayejitambua. Umeandika vitu usivyovielewa zaidi ya kujikweza na kujipa umuhimu wewe na watibeli wenzio.
  2. M

    Yawezekana hali halisi ndani ya Israel ni mbaya kuliko….

    Sema hii dunia ina ubabe mwingi sana Marekani ana silaha nyingi za nuclear Israel anazo pia na amegoma kusaini makubaliano ya kupunguza silaha za nuclear wala kuruhusu wakaguzi kwenye vinu vyake Iran hana hizo nuclear na ameruhusu wakaguzi Lakini bado kashambuliwa, watu wake wameuliwa na hakuna...
  3. M

    Ijue kanuni ya VSP unapochagua mke wa kuoa

    Mtoa mada na wewe huwa hakuna tofauti sababu kila mmoja anavutia kwake Wewe huwa unaamini mwanaume ndo mwenye makosa na unawatetea sana wanawake bila kujali makosa yao, huo ndo u feminist wenyewe. Kama ungekuwa una balance you could have had a point
  4. M

    Hitimisho la Kesi: Licha ya hukumu kutolewa, hakuna official statement niliyokabidhiwa mahakamani

    Kama ulivyosema asiwasikilize watu humu UKIWEMO WEWE NA HUU USHAURI WAKO
  5. M

    Nahitaji connection ya kumuhamisha wamoyo wangu, yupo huko machakani, nimechoka upweke, dau lipo

    Nilimtafutia kazi sehemu nyingine ingawa alikotoka maslahi yalikua mazuri sana Ila ilibidi kuangalia faida za familia kukaa pamoja
  6. M

    Nahitaji connection ya kumuhamisha wamoyo wangu, yupo huko machakani, nimechoka upweke, dau lipo

    Nakuelewa sana ndugu nilipitia hiyo changamoto ya kuishi mbali na familia kidogo nipate uchizi. Nashukuru kwa sasa nipo na familia. Ni raha sana kulea watoto Mungu akufanyie wepesi
  7. M

    Nawezaje kuondokana na haya majeraha yanayo niumiza moyo wangu

    Mtunzi : Horatio Spafford Wimbo: It is well with my soul
  8. M

    Nawezaje kuondokana na haya majeraha yanayo niumiza moyo wangu

    Mimi huwa natumia formula moja, sijui kama we itakusaidia. Ninapopitia changamoto huwa najiuluza maswali kadhaa Je mimi ni wa kwanza kupata hiyo changamoto?? Je changamoto zangu ni kubwa kuliko za mtu yoyote dunia nzima??? Mfano : mtoto wangu anaumwa sana hadi nakosa raha lakini unajua kuna mtu...
  9. M

    Hitimisho la Kesi: Licha ya hukumu kutolewa, hakuna official statement niliyokabidhiwa mahakamani

    Mkuu naomba nikushauri kitu hapa Nakuomba sana tena sana; USIKUBALI KURUDIANA NA HUYO MWANAMKE. Ni kweli tunavumilia mengi kwenye ndoa lakini kwa mliko fika hutakiwi kurudi nyuma Kama alikusaliti na bado akaenda mahakamani na kusingizia yote hayo sijui unapata wapi ujasiri wa kupata hata wazo la...
  10. M

    Wanawake wa sasa, wemejawa na ubinafsi na upendo wa mali

    Uko sawa mkuu. Sidhani kama naweza kukubali kuishi na mtu anasema yeye ana chake tu na cha kwangu cha kwetu sote. Hakuna hata maana ya kuoa sasa.
  11. M

    Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

    Kama tunaongelea heshima inayotokana na mtu kuwa na pesa ataheshimika tajiri lakini kama ni swala la nani kaoa mke Bora obvious ni maskini
  12. M

    Serikali ya Tanzania mshawishini Trump arejeshe misaada

    Lakini mapato yetu madogo kuliko mahitaji. Bila misaada na mikopo hatutoboi
  13. M

    Serikali ya Tanzania mshawishini Trump arejeshe misaada

    Lakini ndugu athari zake ni kubwa sana.Kuna maskini wengi sana wanategemea misaada hii ili waweze kuishi
  14. M

    Serikali ya Tanzania mshawishini Trump arejeshe misaada

    Hawa jamaa hata misaada ikikata hawajali na wala hawatahangaika kusaidia watu. Wao wana uhakika
Back
Top Bottom