Kwahiyo kwa maana yako ni kwamba timu au mchezaji mwingine akipendelewa wanafanya hivyo ili ku balance kubebwa kwa Messi na Argentina???
Wakiibeba Man U ni ili wa balance?
Wakiibeba Madrid ni ili wa balance?
Kama ni hivyo maana yake unakubali Ronaldo Ballon D'or ya 2013 hakustahili na alibebwa...
Kama ni hivyo elezea uovu wote usiwe selective
Unavyoiandama Argentina na Messi utafikiri ndio timu au mchezaji pekee duniani aliyewahi kufaidika na maamuzi yenye utata
Ronaldo na Ballon D'or ya 2013?..Ribbery analalamika mpaka leo
Malalamiko kuhusu Madrid au Man U kubebwa? husemi kisa ni timu...
Najua uko kwenye denial stage pale unapokuwa unapitia maumivu
Lakini bahati mbaya ni kwamba hakuna chochote unachoweza kubadili kwa hizo conspiracies zako.
Huwezi kubadili World Cup aliyobeba Argentina
Huwezi kubadili the fact yupo robo fainali
Huwezi badili record za Messi
Mi nilidhani kwa...
We jamaa ni mnazi na analysis zako za uongo uongo
Kipindi cha Fergie hakuna timu ilikuwa inalalamikiwa kuwa inabebwa England kama Man U (ambayo wewe ni mshabiki) Rafael Benitez kipindi yupo Liverpool alilalamika sana hata Mourinho kipindi yupo Chelsea
Hiyo Madrid ya kina Ronaldo ililalamikiwa...
Kuna mchangiaji hapo juu kasema kweli
Tatizo la wanawake ni kudhani kuwa adui yao ni mwanaume wakati sio kweli
Wanawake hao hao (mkiwemo ninyi) bila wanaume pengine msingekuwa hapo
Kuna mliosomeshwa na wanaume
Wapo ambao wanaalipiwa kodi na wanaume
Mpo ambao nyumba, magari hadi nguo mmenunuliwa...
Kama Watibeli ni kabila basi ni mojawapo ya makabila ya hovyo kuwahi kutokea katika historia ya dunia
Kama ni falsafa haifai kusomwa na mtu yoyote anayejitambua.
Umeandika vitu usivyovielewa zaidi ya kujikweza na kujipa umuhimu wewe na watibeli wenzio.
Sema hii dunia ina ubabe mwingi sana
Marekani ana silaha nyingi za nuclear
Israel anazo pia na amegoma kusaini makubaliano ya kupunguza silaha za nuclear wala kuruhusu wakaguzi kwenye vinu vyake
Iran hana hizo nuclear na ameruhusu wakaguzi
Lakini bado kashambuliwa, watu wake wameuliwa na hakuna...
Mtoa mada na wewe huwa hakuna tofauti sababu kila mmoja anavutia kwake
Wewe huwa unaamini mwanaume ndo mwenye makosa na unawatetea sana wanawake bila kujali makosa yao, huo ndo u feminist wenyewe. Kama ungekuwa una balance you could have had a point
Nakuelewa sana ndugu nilipitia hiyo changamoto ya kuishi mbali na familia kidogo nipate uchizi. Nashukuru kwa sasa nipo na familia.
Ni raha sana kulea watoto
Mungu akufanyie wepesi
Mimi huwa natumia formula moja, sijui kama we itakusaidia.
Ninapopitia changamoto huwa najiuluza maswali kadhaa
Je mimi ni wa kwanza kupata hiyo changamoto??
Je changamoto zangu ni kubwa kuliko za mtu yoyote dunia nzima???
Mfano : mtoto wangu anaumwa sana hadi nakosa raha lakini unajua kuna mtu...
Mkuu naomba nikushauri kitu hapa
Nakuomba sana tena sana; USIKUBALI KURUDIANA NA HUYO MWANAMKE.
Ni kweli tunavumilia mengi kwenye ndoa lakini kwa mliko fika hutakiwi kurudi nyuma
Kama alikusaliti na bado akaenda mahakamani na kusingizia yote hayo sijui unapata wapi ujasiri wa kupata hata wazo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.