Recent content by muftyzo

  1. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Kidato cha 2, Single Yupo temeke dar es salaam
  2. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Elimu kidato cha 2, hajaolewa bado
  3. muftyzo

    Je msichana anaweza akapata ujauzito akiwa bikra

    Tena kasi ya kupata mimba ni kubwa zaidi, turudi shule kidog kwenye physics concepts of capilarity, yan is the rising of fluid through a tube, the thickness of the tube is inverse with rising capacity. Turud uswahilin, kibatari na utambi na mafuta namna yanavyopanda juu. Hivy kilA njia ikiwa...
  4. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Habari ya saa hizi wana Jukwaa, Nimerud tena kwenu kwa mara nyingine tena, Kuna ndugu yangu wa kike anaomba msaada kwenu nae apate sehemu Ili aweze kujikimu mahitaj yake, kama Kuna mtu Ana duka anajiamin kwa kazi kam hiyo pia kutokana na elimu yake. Umri ni miaka 22. Ambaye atakuwa anahitaji...
  5. muftyzo

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari za sahizi wana jf, nimerudi tena kwenu wakuu kwani tukishirikiana pamoja hakuna kitakachokuwa kigumu na amin Mungu atatufanyia wepesi. Nina ndugu yangu amepangiwa kusomesha kateshi manyara hao wanaoreport sahivi mashuleni, ni mkaazi WA dar we salaam, hivyo kwa ambae anahitaji au...
  6. muftyzo

    Natafuta kazi za ndani(maid)

    Kweli mkuu umeongea facts.
  7. muftyzo

    Series (Special thread)

    Ni 24 hrs hiyo
  8. muftyzo

    Series (Special thread)

    Dah afu kwel imekuwa tofauti kabisa yan na season 1
  9. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Asante kwa mrejesho, hiyo namb nloandika hapo ni ya kwangu mim, mwanzon nlieka yake ila kutokana na changamoto imebidi niweke ya kwangu, maana wapo wenye kulichukulia tatizo LA wenzao in positive Way, lakn wengine tofauti. Bado anahitaji kibarua, kama bado upo na mahitaji ya huyo mtu naomba...
  10. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Habari kka, Samahan nlipotea hewani kutokana na sababu za hapa na pale, bado anahitaji kibarua huyo dada yangu, kuhusu mdhamin yupo naweza kukukutanisha nae, kama unaitaji bado naomba mrejesho wako kwa mara nyingine. Asante sana
  11. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Asante kwa mrejesho. Pia Samahan sana nlipotea hewani kutokana na sababu za hapa na pale, ila bado anaitaji kibarua huyo dada yangu. Elimu yake ni form 2 ameishia hapo. Uaminifu upo pia sehemu ya mkataba atakuwep mtu WA kusimamia kama mdhamin wake.
  12. muftyzo

    Msaada: Anatafuta kazi yoyote ya halali

    Habari zenu wana forum, nina ndug yangu wa kike age 22, alikuwa anatafta kibarua au kazi ya dukani ili nae aweze kujivua utegemezi japo kwa namna ndogo, yupo hapa dar, hivyo nimelifiksha kwen wakubwa kama yupo muhitaji au anaeweza kumsaidia naomba mtusaidie. Kwa maelezo zaid 0659086861...
  13. muftyzo

    Anatafuta kazi ya kuuza duka.

    Natangulisha shukrani za dhat kwenu. Nina dada yangu miaka 21, anatafuta kazi ya kuuza duka, hivyo ambaye atakuwa na uhitaji au kuskia anapohitajika, naomba mtusaidie kwa kutupa hata tarifa Hakika itakuwa ni msaada mkubwa sana. Hivyo unaweza kuni pm au naomba untafte kupitia sim namba...
Back
Top Bottom