Tena kasi ya kupata mimba ni kubwa zaidi, turudi shule kidog kwenye physics concepts of capilarity, yan is the rising of fluid through a tube, the thickness of the tube is inverse with rising capacity.
Turud uswahilin, kibatari na utambi na mafuta namna yanavyopanda juu.
Hivy kilA njia ikiwa...
Habari ya saa hizi wana Jukwaa,
Nimerud tena kwenu kwa mara nyingine tena, Kuna ndugu yangu wa kike anaomba msaada kwenu nae apate sehemu Ili aweze kujikimu mahitaj yake, kama Kuna mtu Ana duka anajiamin kwa kazi kam hiyo pia kutokana na elimu yake. Umri ni miaka 22. Ambaye atakuwa anahitaji...
Habari za sahizi wana jf, nimerudi tena kwenu wakuu kwani tukishirikiana pamoja hakuna kitakachokuwa kigumu na amin Mungu atatufanyia wepesi.
Nina ndugu yangu amepangiwa kusomesha kateshi manyara hao wanaoreport sahivi mashuleni, ni mkaazi WA dar we salaam, hivyo kwa ambae anahitaji au...
Asante kwa mrejesho, hiyo namb nloandika hapo ni ya kwangu mim, mwanzon nlieka yake ila kutokana na changamoto imebidi niweke ya kwangu, maana wapo wenye kulichukulia tatizo LA wenzao in positive Way, lakn wengine tofauti. Bado anahitaji kibarua, kama bado upo na mahitaji ya huyo mtu naomba...
Habari kka, Samahan nlipotea hewani kutokana na sababu za hapa na pale, bado anahitaji kibarua huyo dada yangu, kuhusu mdhamin yupo naweza kukukutanisha nae, kama unaitaji bado naomba mrejesho wako kwa mara nyingine.
Asante sana
Asante kwa mrejesho. Pia Samahan sana nlipotea hewani kutokana na sababu za hapa na pale, ila bado anaitaji kibarua huyo dada yangu.
Elimu yake ni form 2 ameishia hapo. Uaminifu upo pia sehemu ya mkataba atakuwep mtu WA kusimamia kama mdhamin wake.
Habari zenu wana forum, nina ndug yangu wa kike age 22, alikuwa anatafta kibarua au kazi ya dukani ili nae aweze kujivua utegemezi japo kwa namna ndogo, yupo hapa dar, hivyo nimelifiksha kwen wakubwa kama yupo muhitaji au anaeweza kumsaidia naomba mtusaidie.
Kwa maelezo zaid
0659086861...
Natangulisha shukrani za dhat kwenu.
Nina dada yangu miaka 21, anatafuta kazi ya kuuza duka, hivyo ambaye atakuwa na uhitaji au kuskia anapohitajika, naomba mtusaidie kwa kutupa hata tarifa Hakika itakuwa ni msaada mkubwa sana.
Hivyo unaweza kuni pm au naomba untafte kupitia sim namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.