Ndugu yangu ufaransa na UK ni moja ya nchi za ulaya lakini siyo nchi za kuchezewa wamekaa vizuri sana.. Wakiungana wawili tu hao urusi haiwezi kufanya kitu
Ndugu yangu pole sana, i can imagine how much it pains coz i went thru the same problem... Na mim tangu 2011 nilikuwa natafuta ajira nakwambia nimepata ajira juzi, nimepata barua kutoka utumishi niripoti kazini immediately.. Lakini cha ajabu tangu hiyo 2011 nilikuwa natuma barua lakini sitwi...
Kwani chadema ni ya Mbowe au dr. Slaa? Hahaaaaa pole sana naona uharo unakutoka, chadema ni ya watanzania wote wapenda mabadiriko.. Siyo lazima mbowe au slaa agombee tena
Ikiwa Mbowe na Slaa wanang'ang'ania madaraka je wakipewa nchi si watanadiri vipengele kwenye katiba na kufia madarakani kama akina Mugabe, Museveni, na wengineo? Mbowe na dr. Slaa wananajisi demokrasia, waondoke maana chadema siyo saccos bali ni taasisi ambayo ina accomodate watu mbali mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.