Hivi agents wake wanapatikana wapi kwa hapa dsm mana me nimeshindwa kununua credit mwezi wa tano sasa
By Piriton
Mimi nimtumiaji wa ving'amuzi vya easy tv kwa muda mrefu na ni vingamuzi vizuri saaana na channel za local zipo[tz]zote. Kinacho niudhi kwa sasa ni hawa wamiliki hawatafuti mawakala wa kuuza vocha zao. Nimehamia kigamboni hakuna mawakala kabisa.
Chukua no ya makao makuu hii watumie pesa kwa tigopesa then watakuwekea.0658688633.inapatikana wakati wa kazi tu.
Azam tv wanaanza lini?
Ukiondoa DSTV, EASY ndo king'amuzi kizuri kuliko vyote.
Walisema mzunguko wa nne wa ligi kuu ya Tz
Mimi jana ndio nimechoka na hiki king'amuzi, jana nilikuwa nataka kutizama mpira UEFA DTV, niliwaona DK licky na mtangazaji wa DTV wakijadili mchezo kati ya MAN U sijui na timu gani tena, wakati wa mpira unaanza nashangaa badala ya kutuonyesha mpira walituwekea mziki hadi kilipo isha kipindi cha kwanza... wakarudi tena wachambuzi wa mchezo huo, ndipo nilipo kundua na jirani yangu anatizama huo mpira kupitia DTV ila yeye anatumia king'amuzi cha Startimes na mpira alikuwa anatizama full tofauti na mimi wa Easytv ambaye nilikuwa naonyeshwa uchambuzi tu wa mchezo ikifika time ya kuonyesha mpira na wekewa mziki ila wenye kisimbuzi cha startimes wanaendelea kuona mpira ..
Dah, mkuu mbona umenifanya niogope kununua hii kitu, labda hawana mkataba na DTV au startimes ndio wana hati miliki ya kuonyesha hizo mechi.
Usiogope mkuu inawezekana kabisa hawana mkataba nao kama ulivyo sema hapo juu
By Piriton
Mimi nimtumiaji wa ving'amuzi vya easy tv kwa muda mrefu na ni vingamuzi vizuri saaana na channel za local zipo[tz]zote. Kinacho niudhi kwa sasa ni hawa wamiliki hawatafuti mawakala wa kuuza vocha zao. Nimehamia kigamboni hakuna mawakala kabisa.
Chukua no ya makao makuu hii watumie pesa kwa tigopesa then watakuwekea.0658688633.inapatikana wakati wa kazi tu.
Bado wapo hawa easytv
CHAZA
Wapo tu sana mim natumia ving'amzi viwili kwa wakati mmoja: easy TV na STARTIMES. KAma unapenda movies we vuta EASY TV, kuna station 4 zinaonyesha movies tu.. Kama ni mpenzi wa mieleka Easy tv ndo wenyew
Vipi hii kitu ina zile code kama za Startimes ambazo zinakupatia channel 13 for free?
CHANNEL ZINAZOPATIKANA
ZA TANZANIA KWA MASAA 24
TBC, STAR TV, PULSE, CHANNEL TEN, ITV, EATV, TV TUMAINI, TRENET, C2C,
********************************
ZA AFRIKA 13 KWA MASAA 24
KBC-KENYA, NATION-KENYA, KTN-KENYA, CITIZEN-KENYA, TV MALAWI, UBC-UGANDA, AIT-NIGERIA, ZNBC-ZAMBIA, TPA-ANGOLA, RTNC-KONGO KINSHASA, TV MALAGASY, MBC-MAURITIUS, CRTV-CAMEROUN
***********************************
ZA KIMATAIFA 7 KWA MASAA 24
VOA, RUSSIAN TODAY, TV5, ABC, CCTV-9, DW-TV, UJALA-Documentary
HABARI 5 MASAA 24
BBC WORLD NEWS, ALJAZEERA, NOW NEWS, CNN, EURONEWS
***********************************************
MAISHA (LIFESTYLE) MASAA 24
LIFESTYLE ZIKO 2, MUZIKI ZIKO 2, DINI ZIKO 2, LUXE, FASHION, B4U MUSIC CHANNEL. 3ABN, MUSLIM