Nicholas J Clinton
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 877
- 486
Ni ukweli ambao unaweza kupinga kwa hoja kijana huyu ni very smart kwa kila anacho kifanya hasa baada ya kuchaguliwa kuwa waziri kivuli wa uchumi na fedha japo anashirikiana na chama kikuu chu upinzani CHADEMA ambacho kinaonekana kuyumba japo si sana kama watu wengi au wachache tunavyojua.
James Mbatia amekuwa akitoa hotuba zenye mashiko katika wizara yake mawazo ambayo hata Zitto Kabwe hajawahi kutoa leo nchi imezizima kwa badget nzuri ya UPINZANI iliyosomwa na kijana Mbatia huku wengi wakijua kuwa ni ya CHADEMA sasa nashudia kuwa budget ya serikali imebugi na hivyo kushauliwa na kutumia ya upinzani kwa 100% na hivyo kuupandisha hadhi ya CHADEMA Mbatia well done tujifunze kupitia kwako.
James Mbatia amekuwa akitoa hotuba zenye mashiko katika wizara yake mawazo ambayo hata Zitto Kabwe hajawahi kutoa leo nchi imezizima kwa badget nzuri ya UPINZANI iliyosomwa na kijana Mbatia huku wengi wakijua kuwa ni ya CHADEMA sasa nashudia kuwa budget ya serikali imebugi na hivyo kushauliwa na kutumia ya upinzani kwa 100% na hivyo kuupandisha hadhi ya CHADEMA Mbatia well done tujifunze kupitia kwako.