NATO: Russian warplanes send 'great power' message

NATO: Russian warplanes send 'great power' message

china anamdai US.

Na anamdai trillion of $ siyo billion,kila ulichoandika on ur original reply ni pumba tu.Poor and irrational comments.
China owned an estimated $1.263 trillion in U.S. Treasuries, is the number-one investor among foreign governments, according to the April 2014 figures released by the U.S. Treasury. This amounts to over 21% of the U.S. debt held overseas and about 7.2% of the United States’ total debt load.


http://bonds.about.com/od/bondinvestingstrategies/a/Chinadebt.htm.

Bado sijaweka figures Za Alibaba which went public sept and was listed in Newyork Stock Exchange and its growth now is unstoppable.
 
Marekani kutoishikisha adabu n.korea sio kwamba anaiogopa na kutoiadabisha russia ni vilevile pia, obama anaremba mno, ngoja tuchukue kiti wanarepublican na ishara ishaonekana ktk uchaguz wa senate

endelea kuota.
 
Angalizo langu ni hivi... when arguing about USA, NATO & Russian tuweke nafasi ya kua haya ni maoni yetu tu vile tunavyodhania sisi lakin tubaki tukikubaliana kua Moscow na Washngton wana mipango yao zaid ya vile tujuavyo na kwamba yako mengi tusiyoyajua... Third world war might look imminent but siyo rahisi kihivyo..unaongelea kuisambaratisha dunia na kizazi chake... each state is adamant to be the cause...

Last week uliona North Korea launched Submarine Balistic missile?The launch was very successful na huyo US hakuwahi hata kuwaza North Korea inaweza kufanya hivyo.
Endelea kulala na kuota!!
 
Last week uliona North Korea launched Submarine Balistic missile?The launch was very successful na huyo US hakuwahi hata kuwaza North Korea inaweza kufanya hivyo.
Endelea kulala na kuota!!

It seems unapenda ligi za kitoto na maneno ya shombo.. mimi sipo huko
 
2013

mkuu huo ni mtazamo wako na fikra zako.
Inamaana hicho ulichokifiri unadhan USA na NATO hawajakifikiri?

Tatizo lenu mnaongelea kiushabiki bila kufikir ukweli wa mambo.

USA na NATO wangeshamvamia zaman sana Urusi kama angekuwa dhaifu kama mnavyodhan nyie. Kwanza USA anapigana na vikundi lakn sio nchi
 
Last edited by a moderator:
hata mimi nampenda Putin.
endapo ikitokea vita kuna nchi za ulaya zitafutwa kabisa hapa duniani, na kama zisipifutwa huo umasikini wake utakuwa balaa.

Ndugu yangu ufaransa na UK ni moja ya nchi za ulaya lakini siyo nchi za kuchezewa wamekaa vizuri sana.. Wakiungana wawili tu hao urusi haiwezi kufanya kitu
 
Last week uliona North Korea launched Submarine Balistic missile?The launch was very successful na huyo US hakuwahi hata kuwaza North Korea inaweza kufanya hivyo.
Endelea kulala na kuota!!
Ni Upuuzi kuamini kuwa Pyongyang inaweza kuichapa marekani ama kuleta upinzani mkali. Ni kama unataka kuamini kuwa ICMB zipo kwa NK tu. NAsema ni Upuuzi. NK bado wako kwenye manual weapons wakati US wamekwenda mbele kwenye Cyber weapons. Hawa NK hawana uwezo dhidi ya US. US yuko vitani miaka yote. hata sasa wako vitani dhidi ya Islamic States. MWanajeshi aliyepigana vita vingi ni mzoefu zaidi kuliko yule aliyepigana vita chache.
Pyongyang wanayokumbukumbu moja tu ya vita walivyopigana babu zao miaka ya zamani.

KWanza Pyongyang wanaleta swaga zote ili kuepuka kipigo cha US. You are too loo.
Tena wewe hau-meet vigezo vya UShabiki othewise wewe ni US hater. Kuna watu wakichukia nchi fulani wanashindwa hata kufikiri hata katika mambo madogo. Wanakuwa extremists hata katika kuwazia mambo madogo madogo yaliodhahiri, wakiamini watabadilisha ukweli kwa saa moja.Can't be..
US ndio wanaweza kupitisha bajeti kuipiga NK na sio vinginevyo. NK wanayokazi moja tu ya kujiami ikiwa watashambuliwa. NA mwisho wake wataishia kupigwa tu pamoja na vinyuklia vyao.
 
Na anamdai trillion of $ siyo billion,kila ulichoandika on ur original reply ni pumba tu.Poor and irrational comments.
China owned an estimated $1.263 trillion in U.S. Treasuries, is the number-one investor among foreign governments, according to the April 2014 figures released by the U.S. Treasury. This amounts to over 21% of the U.S. debt held overseas and about 7.2% of the United States' total debt load.


How Much U.S. Debt Does China Own? - Bonds.

Bado sijaweka figures Za Alibaba which went public sept and was listed in Newyork Stock Exchange and its growth now is unstoppable.
hadithi hadithi.. madeni hayo yanahusianaje. Weka uhusiano wa hayo madeni na Vita tunayojadili.
 
NApata Picha jinsi gani, Russia walivyo na hofu kubwa sana dhidi ya marekani na washirika wake.US inaweza kuwashambulia kwa ghafla na hawana sapoti ya maana kule Asia.
Wakati mwingine Ukubwa wa Pua sio wingi wa makamasi: hoja hiii nai-apply kwa Russia. Ni kama mwezi umepita Waziri wa Russia alimwambia Bw. Putin kuwa Nchi yake haiwezi kumudu gharama alizopanga kuunda Vessels zenye viwanja vya ndege, ambapo kitakwimu inadaiwa wanayo moja tu wakati US inazo takriban 13. Plani ya Putin ilikuwa ifikapo 2006 waweze kuwa nazo za kutosha, Lakini UChumi hauruhusu.
Hili Putin analijua fika.

Kurusharusha ndege hovyo wakati mwingine ni ku-create hofu kwa Adui ili kuondoa uwezekano wa kushambuliwa
RUssia kiukweli imechoka sana.. anachofanya ni mikwara Mbuzi.
Western wanachofanya ni kueneza uongo wa kuonyesha kuihofia Russia lakini wakiwa wanampango wa kuibomoa.
Ikiwa RUssia haiogopi ulaya, siamini kuwa Ulaya na MArekani zinaiogopa RUssia vilevile. Tena Russia yuko peke yake katika hili. Ni upuuzi kuamini kuwa US inaogopa Russia. Wanachofanya ni kitu wanaita calculated Risk. Lakini uncertainty ipo vilevile.

NA vikianza vita Russia inaweza kuteketea kabla haijajipanga sawa sawa. Russia wanachofanya sasa ni kutengeneza Image kuwa wako fiti, ili west wasifikirie kuthubutu.
Na ni imani yangu China hawezi kuisapoti Russia kama itatokea Vita. KWani China ina deni kubwa la pesa kwa US.Na kama mchumi China ingependa deni lirudi.
Russia wako pathetic na hali ilivyo kwani ubabe wao unazeeka vibaya, na China inaonekana ku-take position taratibu. Na hili kwao ni aibu ambayo hawataki kui-face.
Pia nauchukulia ugomvi wa Russia na US unaletwa na Jasusi wa zamani Rais Putin, probable akiingia rais mwingine Wa Russia sera za Russia zinaweza kubadilika. Hali ni tofauti kwa sera za marekani ambazo hazi-change kutokana na mabadiliko ya uongozi.
Dunia ya Leo huwezi pigana vita kama huna hela.
NA wakopaji wanamkopesha yule waayemwona anauhakika wa kulipa faida kubwa. Russia kwa hili bado ni loser.
Russia kama ilivyo China amezungukwa na maadui kila kona.
Kijiographia pia Russia imezungukwa na maadui zaidi kuliko marafiki. mmoja wapo ni Japan, CHina ambo wana mgogoro wa mpaka. Na wangetaka kurudisha maeneo yao ya Zamani. Mtandao wa RUssia unahusisha vinchi vichanga na maskini, wakati mtandao wa US una nchi zenye nguvu kiuchumi na kitechnolojia.
Utakuta ndege alizorusha Russiandio Mwisho wa Sanduku. Yaani hana jipya tena.

Marekani kutoishikisha adabu n.korea sio kwamba anaiogopa na kutoiadabisha russia ni vilevile pia, obama anaremba mno, ngoja tuchukue kiti wanarepublican na ishara ishaonekana ktk uchaguz wa senate
Kitu nikionacho mm USA hana uhakika na nguvu aliyonayo no. Korea pia akitake action hajui reaction ya support atakayopata n. Korea toka kwa mshirika wake mkuu China



Angalizo langu ni hivi... when arguing about USA, NATO & Russian tuweke nafasi ya kua haya ni maoni yetu tu vile tunavyodhania sisi lakin tubaki tukikubaliana kua Moscow na Washngton wana mipango yao zaid ya vile tujuavyo na kwamba yako mengi tusiyoyajua... Third world war might look imminent but siyo rahisi kihivyo..unaongelea kuisambaratisha dunia na kizazi chake... each state is adamant to be the cause...
 
Kumbukumbu zinaonyesha USA na ubabe wake walishindwa kuisambaratisha Vietnam
 
Kitu nikionacho mm USA hana uhakika na nguvu aliyonayo no. Korea pia akitake action hajui reaction ya support atakayopata n. Korea toka kwa mshirika wake mkuu China
yes hoja yako ina make sense
Niliwahi kufuatilia mjadala wa wa majenerali (Veterans) wa US wakisema Ni ukweli usiopingika kuwa NK wanayo nuclear kitu ambacho wanasema hawakijui ni Nguvu ya hiyo Nuclear. otherwise wangeshaivamia siku nyingi. Kwahiyo kuwa na Nuclear sio tatizo kwa US bali nguvu ya nuclear ndio inayowafanya wasite kuivamia mara moja. Kumvamia mtu mwenye silaha usiyoijua vizuri ni kama kuji-commit suicide mission

Ukumbuke Russia anayo nuclear missile inaitwa Satan iliundwa wakati wa Soviet na vita baridi: moja inaweza kupiga na kufuta jimbo kubwa la marekani kama kentacky kwa mara moja. Sitegemei kuamini kuwa US hana silaha za aina hiyo. Japo naamini US hataweza kuthubutu kutumia makombora makubwa ya nulcear dhidi ya NK, ila makombora madogo ya Nuclear yanaweza kutumika, ili kufanya pinpoint destructions. NK hawana cha kupoteza hivyo wanaweza kutumia kila uwezo walionao kupigana na US. US ikitumia inaweza kuifuta NK kwenye ramani ya dunia (Turning victory into ash), kitu ambacho hakina maana.

Kuhusu sapoti ya China kwa Nk nadhani haiwezekani. Kwani China hawakuonyesha sapoti kwa RUSSIa kipindi cha vita baridi. JApo Russia wali-struggle kurudisha mahusiano na China. Pia kiuchumi Ni vizuri kwa China kuisapoti Washington kuliko pyongyang government.


NA china wanaweza kufanya hili ili US awape sapoti ama asiingilie kwa yale madai yao kwenye migogoro ya mipaka na nchi za Asia, na dhidi ya JApan, India na nchi zingine. NA hii imekuwa ni sera ya China mara nyingi wanachagua upande neutral.

Haishangazi kuona China haijaonyesha msimamo wa kuilaumu Russia kwa Ubabe wake wa kuichukua Crimea illegally na China wamefanya hivi ili na wao wasigeukwe na Russia.Kwenye mgogoro wao na JApan wa visiwa vya senkaku na maeneo mengine. Na China wamekuwa mara nyingi wakiitaka US isiingilie migogoro yao kule na nchi za ASIA. Na US imekuwa ikitamani kuingilia ili kuidhohofisha China na Russia.

Iran ambayo inajua US (George Bush) alishawataja kuwa ni Mhimili wa Uovu duniani(Axis of evil) ikiwemo na Iraq ya sadam. tehran government inaweza angalau kutoa sapoti kwa pyongyang kama itawezekana, kwani Tehran anaweza kutabiri kuwa US atakuja kuwabomoa pindi tu akishamalizana na NK.

Kwakuwa US wame wa-Out number jeshi la NK. niobvious Vita ikianza US anaweka fensi eneo lote la asian peninsular. Msaada wowote kutoka china kwenda kwa serikali ya Pyongyang hautawezekana. Pia vita inaweza kuisha mapema: kwani US pia anaweza kuanza kushambulia kwakutumia Nuclear.(Pre emptive attack)
Ni swala la kupata Rais hasa kutoka Republican na Good policy kuliko ile ya Iraq ili kuifanya UN na seneti iweze-sign bajeti ya kuiadabisha NK.

 
Kumbukumbu zinaonyesha USA na ubabe wake walishindwa kuisambaratisha Vietnam
Ni kweli mkuu, tena sio hapo tu, zipo sehemu nyingi tu ambapo US wamewahi kushindwa.
 
Hahahaha…..you have twisted the meaning. Anyway, Ukweli nikwamba Russia ana nguvu na vifaa vya kisasa vya kivita ikiwemo Ndege na Vifaruto mention in few, Lakini hazidi NATO na washirika wake. Hata hivyo Russia ana ushawisho mdogo Dunianiukilinganisha na USA na Washirika wake. Nikijibu swali lako, ni kwambahaitatokea nchi yoyote katika bara laUlaya Ifutike kwenye Uso wa Dunia simply because of Russia fighting war withWestern. Kwa uzoefu wangu mdogo, hawa jamaa (western) chini ya umoja wao, wako makini mnokuliko tunavyoweza kufikiri kinadharia. Mkuu, endapo ikitokea vita kati yaRUSSIA (East) Vs. WESTERN countries, hii itakuwa ni WWIII

It will be Nuclear War and please note recent wars that NATO (USA) had winned? None since Vietnam. They are just creating failed states by destroying the basic way of life of those countries from Afghanistan, Iraq, and Libya.
 
NApata Picha jinsi gani, Russia walivyo na hofu kubwa sana dhidi ya marekani na washirika wake.US inaweza kuwashambulia kwa ghafla na hawana sapoti ya maana kule Asia.
Wakati mwingine Ukubwa wa Pua sio wingi wa makamasi: hoja hiii nai-apply kwa Russia. Ni kama mwezi umepita Waziri wa Russia alimwambia Bw. Putin kuwa Nchi yake haiwezi kumudu gharama alizopanga kuunda Vessels zenye viwanja vya ndege, ambapo kitakwimu inadaiwa wanayo moja tu wakati US inazo takriban 13. Plani ya Putin ilikuwa ifikapo 2006 waweze kuwa nazo za kutosha, Lakini UChumi hauruhusu.
Hili Putin analijua fika.

Kurusharusha ndege hovyo wakati mwingine ni ku-create hofu kwa Adui ili kuondoa uwezekano wa kushambuliwa
RUssia kiukweli imechoka sana.. anachofanya ni mikwara Mbuzi.
Western wanachofanya ni kueneza uongo wa kuonyesha kuihofia Russia lakini wakiwa wanampango wa kuibomoa.
Ikiwa RUssia haiogopi ulaya, siamini kuwa Ulaya na MArekani zinaiogopa RUssia vilevile. Tena Russia yuko peke yake katika hili. Ni upuuzi kuamini kuwa US inaogopa Russia. Wanachofanya ni kitu wanaita calculated Risk. Lakini uncertainty ipo vilevile.

NA vikianza vita Russia inaweza kuteketea kabla haijajipanga sawa sawa. Russia wanachofanya sasa ni kutengeneza Image kuwa wako fiti, ili west wasifikirie kuthubutu.
Na ni imani yangu China hawezi kuisapoti Russia kama itatokea Vita. KWani China ina deni kubwa la pesa kwa US.Na kama mchumi China ingependa deni lirudi.
Russia wako pathetic na hali ilivyo kwani ubabe wao unazeeka vibaya, na China inaonekana ku-take position taratibu. Na hili kwao ni aibu ambayo hawataki kui-face.
Pia nauchukulia ugomvi wa Russia na US unaletwa na Jasusi wa zamani Rais Putin, probable akiingia rais mwingine Wa Russia sera za Russia zinaweza kubadilika. Hali ni tofauti kwa sera za marekani ambazo hazi-change kutokana na mabadiliko ya uongozi.
Dunia ya Leo huwezi pigana vita kama huna hela.
NA wakopaji wanamkopesha yule waayemwona anauhakika wa kulipa faida kubwa. Russia kwa hili bado ni loser.
Russia kama ilivyo China amezungukwa na maadui kila kona.
Kijiographia pia Russia imezungukwa na maadui zaidi kuliko marafiki. mmoja wapo ni Japan, CHina ambo wana mgogoro wa mpaka. Na wangetaka kurudisha maeneo yao ya Zamani. Mtandao wa RUssia unahusisha vinchi vichanga na maskini, wakati mtandao wa US una nchi zenye nguvu kiuchumi na kitechnolojia.
Utakuta ndege alizorusha Russiandio Mwisho wa Sanduku. Yaani hana jipya tena.

Najuta kupoteza mda wangu kuxoma pumba hizi..

Bogus,hata manzese hupati kchwa mbovu kama yako..
 
It will be Nuclear War and please note recent wars that NATO (USA) had winned? None since Vietnam. They are just creating failed states by destroying the basic way of life of those countries from Afghanistan, Iraq, and Libya.
vp kuhusu Ushindi mkubwa walioupata NATO dhidi ya Rafiki wa Russia -- Yugoslavia ya Slobodan Milosevic walipoenda kuwasaidia waislamu wa Albania.? Huku Russia wakitazama rafiki yao akiadabishwa bila kupeleka pua.
 
hadithi hadithi.. madeni hayo yanahusianaje. Weka uhusiano wa hayo madeni na Vita tunayojadili.

Hapo nimekujibu uongo ulioandika kwenye original reply yako kuwa US anamdai China wakati China ndiyo anamdai US Trillion of dollars $.Hizo pumba nyingine nitakujibu!!
 
Back
Top Bottom