Recent content by mtzzz

  1. mtzzz

    Wakubwa mm naulizia kin'gamuzi cha azsky kinapatikana kwa bei gani

    Kiwe kinatumia line ya simu
  2. mtzzz

    Mnazionaje huduma za Azam tv?

    Hiki king'amuzi cha azam tv kinakamata mikoa yote au hadi DSM tu wadau???.
  3. mtzzz

    JWTZ kuna udhaifu idara ya habari

    Ni kweli gen parton vitu vingine sio vya kutangaza , mfano unaishi na majirani alafu hujui ni wazuri au wabaya unawatangazia umenunua bastora kama kuna adui yako kati ya hao majiran zako yeye atanunu s.m.g na mabom kabisa ili siku akitaka kukutoa jasho anakua anajua udhaifu wako, hivyo ni vyema...
  4. mtzzz

    JWTZ: Marufuku kuandika mgogoro wa DRC

    Mnaongelea habari ya vita, leo iko mbali ingekua karibu je?, alafu watu tukumbuke swala la vita sio siasa za ccm.
  5. mtzzz

    JWTZ: Marufuku kuandika mgogoro wa DRC

    Watanzania tunamidomo sana wana JF tunaongea kuchochea ujinga alafu kunawatu wanajifanya wanauchungu na taarifa za kutoka Congo hamna lolote hauwezi kuwa na uchungu kuliko walioko ,front line wanapigana walitoaga picha za ku edit kwamba askari wetu eti wanabaka mabinti congo kumbe uongo, mm...
  6. mtzzz

    Maisha yanazidi kuwa ghali kigali

    Watasema wapi nchi inaishi kidicteta kiukweli Rwanda na wananchi wake tumewasaidia kwa miaka mingi lakini hawana shukrani tu.
  7. mtzzz

    Tetesi: Mabinti wanabakwa JKT

    Kipindi cha nyuma akina Mohammed ent walienda jkt wahindi kila aina ya wasomi sio uzalendo tu pia taifa letu vijana wanapenda kazi rahisi tu kunenepeana maofisini hata kuhamisha kiti ofisini hadi secretary yaani inapunguza uozo kwa hali ya juu maana ulele mama umezidi nakumbuka kipindi nilikua...
  8. mtzzz

    Rose Muhando,ni yeye au ni utapeli?

    Kwani ukisikia bwana wa majeshi hua unafikiri nini mir2
  9. mtzzz

    Rose Muhando,ni yeye au ni utapeli?

    Mnasema wenzenu angali nyuma ya migongo yenu mmebeba furushi la dhambi kubwaa
  10. mtzzz

    Sintofahamu baina ya JK na Kagame; Tanzania tuwe makini na suluhu tuitakayo!

    Mm sidhani kama tumenyanyaswa mm nafikiri huyu kagame ni binadam na anaweza akaongea chochote kwani mmesahau betina na mwili ule hua anamchimba bit zena wakati zena ndo strong zaidi kagame anatoka mlandiz anaenda dar na baiskeli rais jk ana gari tena subarru sasa nani atawahi kufika dar mbona...
  11. mtzzz

    Zitto: Wahamiaji haramu waliokamatwa Tegeta waachiwe mara moja

    Mtu anatetea watu wa mkoa wake na majimbo ya kwao kg nyinyi mnafikilia mbali sana wakuu msilete siasa kwenye majanga ya taifa, wakimbizi ni wengi sana bongo na wengine cwakimbizi.
  12. mtzzz

    Presidents Jakaya Kikwete (Tanzania) and Paul Kagame (Rwanda) have not confirmed TO ATTEND KAMPALA

    Kweli mwanamalund huo ni mfano hai kabisa huyu kagame adabu yake ni finyu sana wala tusimuoneshe busara mpaka iwe aibu kwetu sasa!.
  13. mtzzz

    Tafadhali Usininukuu; WaCongo Wanateseka Kwa Sababu Ya Madini Yao...

    Ni kweli bro ila mambo ni tofauti sana!.
Back
Top Bottom