Rose Muhando,ni yeye au ni utapeli?

Rose Muhando,ni yeye au ni utapeli?

Huenda wanalitumia jina lake ili kuwafanya watu wahudhurie wengi sina uhakika na hili. Kwa mfano kuna huduma mbali mbali huwa zinatangazwa na ndani yake wanaweka mtu maarufu na ukienda siku ya kwanza hadi ya mwisho humuoni mtu huyo unaishia tu kuambiwa alikuja lkn alikua mkoa flani au watasema alipata dharula tusubiri mwakani. Tabia hii mimi huwa siipendi kabisa na nilishaga acha kuamini matangazo ni mpaka nione kwa macho au niambiwe aliyetangazwa leo alikuwepo kwenye huduma. So kwa mtazamo wangu huenda kweli huwa anatoa udhuru lkn hebu jiulize kwanini 5x hapo ndipo yalipo mashaka yangu.
 
Halafu km umegundua..nyimbo zake zinaongoza kupigwa kwenye mabaa...eg nibebe...na huu wimbo ambao sitaki ht kuusikia unaitwa utamu wa yesu.....namuona km ni kiagent cha shetan flani hivi..sorry to say this...upendo...bahati ..christina ukisikiliz nyimbo zao zina mguso wa rohoni..huyu bibie ni sebene oriented

Mwenzako ameonja utamu wa Yesu na amekolewa jumla na kuapa kutotoka ndani ya Yesu ...WAPIGE waue... Kazi Kwenu mliokumbatia utamu wa Devil!
 
mh, nilifikiri peke yangu, kumbe tuko wengi ile ni biashara kwisha kaz

Usitegemee uwingi wa wanaokuunga mkono katika fikra zako zisizo hata na utafiti wa kutosha. Hii ni jamii forum hapahapa ambapo idadi kubwa karibia watumishi wote wa Mungu Aliye Hai hutukanwa, hukashifiwa na kudharauriwa kwa namna zote!! Jambo la Kumshukuru Mungu Jf haijawahi kupunguza hata chembe moja ya kasi ya watumishi katika kuhubiri INJILI ILETAYO WOKOVU!! Jina La Yesu Kristo Wa Nazareth Libarikiwe!!
 
hawa nao wanafanya biashara zaidi siku hizi kuliko kutoa huduma

Nakamilisha ujenzi wa kanisa langu siku si nyingi ntawatangazi, mimi nitakuwa ndo mchungaji, askofu, mtume,nabii na mkurugenzi mkuu.. baada ya hapo ntafungua benki, pia ntaweka hapa namba zangu za MPESA na tigopesa ili sadaka ziwe zinapitia huko...
 
Halafu km umegundua..nyimbo zake zinaongoza kupigwa kwenye mabaa...eg nibebe...na huu wimbo ambao sitaki ht kuusikia unaitwa utamu wa yesu.....namuona km ni kiagent cha shetan flani hivi..sorry to say this...upendo...bahati ..christina ukisikiliz nyimbo zao zina mguso wa rohoni..huyu bibie ni sebene oriented

Mkuu ukisema nyimbo zake zinapigwa mabar si kosa lake kwani yeye akishatoa nyimbo hawezi kurestrict shm za kupiga mbona hata mahubiri yanasikilizwa mabar? Hapo nako utasema je?
 
Mnasema wenzenu angali nyuma ya migongo yenu mmebeba furushi la dhambi kubwaa
 
Kwani ukisikia bwana wa majeshi hua unafikiri nini mir2
 
Imeandikwa enendeni kwa mataifa mkalitangaze neno ili waokoke ww unadhani ilimaanisha nchi za nje au kwa Obama? Ndugu mataifa ni walioko gizani wasiolijua neno mf.. kwenye mabaa madanguroni n.k. Walevi wanakunywa huku injili. Ikiwamiminikia. na wengi wanamrudia mungu. Au unadhani mahubiri ni j2 tu madhabahuni?

Kwa Rose Mhando hamna injili apo.
 
kwanza kabisa nianze kusema nawaheshimu sana watu wanaomtumikia mungu kwa njia yoyote ile ila nina tatizo moja wadau wa jamvi hili.

Mimi ni mkiristo kiukweli napenda sana kuhudhuria matamasha mbalimbali ya muziki wa injili!

Kinachonishangaza waratibu wa haya mashindano wakiwa wanatangaza waimbaji watakaokuwepo huwa nasikia mara nyingi huyu mdada ROSE MHANDO Kwenye list anakuwepo.ila huwa haonekani kwenye tukio! badae watu huwa tunaombwa radhi kwa vile ni ukristo dini ya kusamehe tunasamehe!

Ila niseme tu mimi huwa siendi kwa ajili yake.naenda tu kama roho anavoniongoza!

Sasa naomba mnisaidie wadau huyu dada ni kweli analipwa hela na kuingia mitini? au ni watu tu wanatumia jina lake kuvutia watu?

Mfano tu jumapili alikuwa amealikwa mahali na kapokea tsh millioni mbili net...hakwenda wala hakuwa anapokea simu jtatu kadai alikuwa na mtu mahututi ila kumbe hiyo jpili inasemekana alikuwa mito ya baraka.Sina uhakika lakini mi kwa kweli sielewi!

Amekubuu utapel huyu c mara ya kwanza kbsaa kaanza kwa wa2 mkoa wa kinyaturu juzjuz ee
 
Back
Top Bottom