Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,812
- 6,326
Hizi ndio aftermath za kulazimisha watu kwenda JKT.
Na lazima pawe na mjadala wa makini wa jinsi ya kupunguza rushwa ya ngono sana sana kwa hawa maofisa (walimu,waajiri,wanajeshi..etc) nadhani kwa kufanya hivyo itapunguza tabia na mawazo ya wana dada kudhani wanaweza kupata haki zao kwa kutoa tunda.
Na lazima pawe na mjadala wa makini wa jinsi ya kupunguza rushwa ya ngono sana sana kwa hawa maofisa (walimu,waajiri,wanajeshi..etc) nadhani kwa kufanya hivyo itapunguza tabia na mawazo ya wana dada kudhani wanaweza kupata haki zao kwa kutoa tunda.