Maisha yanazidi kuwa ghali kigali

Maisha yanazidi kuwa ghali kigali

Watasema wapi nchi inaishi kidicteta kiukweli Rwanda na wananchi wake tumewasaidia kwa miaka mingi lakini hawana shukrani tu.
 
Taabu kwelikweli!! Hawa si ndio walewale waliowahi kumpigia kura Rais wao kwa 99.9% miaka kadhaa iliyopita na Wazungu wakapongeza kwa kusema kuwa uchaguzi ulikuwa wa wazi na haki?

Watafute mbinu ya kujiokoa ila wasiige mbinu ya Syria kwa sababu wakianza kutandikwa hawana pa kukimbilia: TZ - No entry, Burundi - No entry (isitoshe walimtungua Rais wa Burundi), DRC - No entry washapatibua, Uganda - Ebola itawatafuna! Labda Kenya - Lakini watapitia wapi?
 
Mi nasubilia tu , huyu kagame atakuja tu kutupigia magoti? Mi sio mchumi, lakini anajumiza mwenyewe, kusafirisha au kutumia bandari ya mombasa , ni lazima avuke mipaka miwili , kenya to uganda , uganda to rwanda , kwa akili ya kawaida tu anajikomoa mwenywe !!! Ajue kimya kingi kina mshindo mkuu.
 
Taabu kwelikweli!! Hawa si ndio walewale waliowahi kumpigia kura Rais wao kwa 99.9% miaka kadhaa iliyopita na Wazungu wakapongeza kwa kusema kuwa uchaguzi ulikuwa wa wazi na haki?

Watafute mbinu ya kujiokoa ila wasiige mbinu ya Syria kwa sababu wakianza kutandikwa hawana pa kukimbilia: TZ - No entry, Burundi - No entry (isitoshe walimtungua Rais wa Burundi), DRC - No entry washapatibua, Uganda - Ebola itawatafuna! Labda Kenya - Lakini watapitia wapi?

Nimependa hii kaka labda watakaa ndani ya mitumbwi ziwa tanganyika!
 
Mi nasubilia tu , huyu kagame atakuja tu kutupigia magoti? Mi sio mchumi, lakini anajumiza mwenyewe, kusafirisha au kutumia bandari ya mombasa , ni lazima avuke mipaka miwili , kenya to uganda , uganda to rwanda , kwa akili ya kawaida tu anajikomoa mwenywe !!! Ajue kimya kingi kina mshindo mkuu.

Cha ajabu tukisubiri aje kupiga goti Tz jana kwenye taarifa ya habari nimemuona JK yupo kigali, sasa sijui nani kampigia goti mwenzie.
 
Back
Top Bottom