Kwanza karibu kwenye mkeka!
swali lako zuri sana,dawa ipo na imepatikana ila nadhani sio kwa ambao madhara yameshaanza kujitokeza!!
kumbuka tu,kila ugonjwa una dawa yake ila watu wanaendelea kufa!
Jamaani,
Hivi slaa anao ulinzi wa kutosha jamaani maana hao mavuvuzela wa CCM kupotezana washazoea,watamtafuta kwa ndumba wakishindwa watamtungua kwasababu wameshaogopa na wanajua mimi na wewe na watanzania wote tumechoka CCM!
Dr.Slaa ni msomi.
Dr.Kikwete hata hafananii wala hilo jina na DR...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.