...Ngurumo amepika hizo data? hujawai kuwa ktk newsroom? kuona namna waandishi wanavyopika data ili kujenga misimamo yao?....By the Way Slaa hawezi kuwa mgombea wa watanzania...bado ni Mgombea wa Chama chake...ready Vyama vingine vina wagombea wake tena makini kuliko SLAA...akishinda Urais ndio anaweza kuwa Rais wa Watanzania...waache watanzania wachague...!!
Hebu tutajie huyo mgombea mwingine makini kuliko Dk Slaa.