Dr. Slaa si wa CHADEMA

...Ngurumo amepika hizo data? hujawai kuwa ktk newsroom? kuona namna waandishi wanavyopika data ili kujenga misimamo yao?....By the Way Slaa hawezi kuwa mgombea wa watanzania...bado ni Mgombea wa Chama chake...ready Vyama vingine vina wagombea wake tena makini kuliko SLAA...akishinda Urais ndio anaweza kuwa Rais wa Watanzania...waache watanzania wachague...!!

Hebu tutajie huyo mgombea mwingine makini kuliko Dk Slaa.
 
Mimi kinachonichekesha na kunishangaza ni kuwa humu jf wanataka tuamini kwamba slaa atakuwa ndo suluhisho la kila kitu wakati watanzania ni walewale, shule yao ndogo na wasomi wanaotumika sasa ni haohao atakaowatumia au atashuka na wake toka mbinguni! Bila shaka wengi mliopo humu siajabu hamna uzalendo wa kweli bali mna viahadi vya maslahi ndo maana hamtaki kuandika na kusema ukweli. Ubnafsi umewajaa. Umimi umewajaa. Ndo maana hata ukileta wazo la chama kingine cha upinzani utaishia kutukanwa tu humu. Ngoja niseme ukweli tu japokuwa wengi JF mtachukia, mtatamani hata kuning'ata, buy yes ngoja niseme ukweli. Nashauri kama ingewekwa wazi tu kuwa hii ni Chadema forum. Bila shaka isingekuwa tatizo kwa wachangiaji wengine wasiokuwa wanachadema hata kama ni wapinzani wachama tawala. Na pia nchi haiongozwi na ntu mmoja na urais ni taasisi. Tumeona mabadiliko sehemu nyingi sana sehemu mbalimbali na hata majirani zetu hapa, nani anaweza kutuambia ninini hasa cha maana walichofanya. Mwai Kibaki kati anaingia madarakani alisema kuwa atabadilisha katiba ndani ya siku 90, mpaka uchaguzi mwengine ulifika hajafanya lolote.
Kwa hiyo tuache kuongopena, Slaa hajawahi kuwa hata mkuu wa mkoa/wilaya, hakuna anayejua utendaji kazi wake zaidi ya kuongea bungeni. Akina Brown hivyo hivyo, walikuwa watendaji wazuri sana chini ya akina Bliar lakini sote ni mashahidi jinsi alivyochemsa. Haya hayatoshi tu kuwa somo kwetu? au tunasubiri mwalimu aje na chaki ubaoni ndo tujue?
Lets we be realistis, kama unamasilahi labda ya ahadi za uwaziri kitu ambacho naamini Zito atakuwa nacho dhena leta sifa kama za Ngurumo, lakini kama wewe ni mwenzangu na mimi just write the reality, acha ushabiki usiokuwa na tija.
Bila shaka nitakuwa nimeeleweka kata kama nitapanda cheo na kuwa kingwendu kama mwalugali alivyosema.

Ndugu utofautishe kuongea na kuact, hivi ni vitu viwili tofauti. Kila siku huwa anaongea sijui Mkapa alifanya hivi na vile unafikiri akiwa rais anaweza kumfikisha Mkapa mahakamani? Ni rahisi kihivyo? Mimi naona tumepoteza mtu mhimu sana bungeni kwani huwa nafurahia sana jinsi anavyojenga hoja. Lakini hilo halimaanishi kuwa na kuact itakuwa hivyo. Lakini pia nawasiwasi na huyu bwana anaweza akatufikisha pabaya kwani inaonekana si mvumilivu kabisa. Kama mtakumbuka alivyowafukuza uongozi wanachama wenzake kwa sababu tu watofautiana kitu ambacho ni cha kawaida kabisa hata mke na mme au kaka na dada hutofautiana. Je akiwa na mamlaka ya juu na akaingiza interest zake na kakikundi kake tutapona. Si tutakuwa tumejichimbia kaburi wenyewe na tutaanza kupigana? Again and again tuangalie haya mambo kwenye 3 dimension kama kweli tunataka tuwe salama.

Mkuu..........what do you want then...........tushauri basi tumchague nani......JK, au Dr. Slaa au Dr. Lipumba......and why.......tell us something!
 
Jamaani,
Hivi slaa anao ulinzi wa kutosha jamaani maana hao mavuvuzela wa CCM kupotezana washazoea,watamtafuta kwa ndumba wakishindwa watamtungua kwasababu wameshaogopa na wanajua mimi na wewe na watanzania wote tumechoka CCM!

Dr.Slaa ni msomi.
Dr.Kikwete hata hafananii wala hilo jina na DR. halimpendezi,tumechoka jamaani!
Maendeleo na mabadiliko ya kweli huletwa na watu wenye machungu na wazalendo wa kweli.
 
Mkuu..........what do you want then...........tushauri basi tumchague nani......JK, au Dr. Slaa au Dr. Lipumba......and why.......tell us something!
I want people to speak truth, Na sikutuongopea kama watoto wadogo. That is only what I want and not otherwise.
 
Back
Top Bottom