Mzima mpwa?
Wataruka sana lakini mwisho watatangaza tu.Bado Mwanza - Nyamagana na Sumbawanga.
Angalia usinyofolewe hizo nywele!salama kabisa.....habari za matokeo ya huko kwenu? mimi hapa mtaani kwangu hapafai ni shamrashamra za kutosha.....Kamanda Lema katuwakilisha
Angalia usinyofolewe hizo nywele!