Recent content by Mtumpole

  1. Mtumpole

    SI KWELI Ukihisi harufu ya wali au mchele uwapo porini ni ishara kuwa Chatu yupo karibu

    ni kweli, imeshanitokea zaidi ya mara 3 nikiwa porini na wanasema anakuwa anavua gamba
  2. Mtumpole

    Msaada: Friji linajizima na kujiwasha, tatizo nini?

    Umeme utakuwa ni mdogo(low voltage), kuna member hapa kakushauri uiwashe kwenye saa 6 usiiu ambapo matumizi ya umeme yanakuwa yamepungua uangalie labda tatizo ni umeme
  3. Mtumpole

    Je, ni sahihi mwanaume kulala bila nguo kabisa?

    Thread 'Je kuna madhara kwa Wanaume kuzoea kulala na nguo ya ndani(boxer)?' Je kuna madhara kwa Wanaume kuzoea kulala na nguo ya ndani(boxer)?
  4. Mtumpole

    Ukitoa kufuata Mkumbo, Kutumia umeme kupika ni nafuu kuliko Gas na mkaa

    Mbona kwangu mapishi yote tunatumia umeme pamoja na gesi
  5. Mtumpole

    Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates

    https://serafinadubai.com/what-will-happen-to-dubai-when-the-oil-runs-out/#:~:text=According%20to%20estimates%20by%20the,and%20exploration%20of%20new%20reserves.
  6. Mtumpole

    Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

    Yaani unaangaika kuwatetea wahuni wa kisiasa kama hakina Dr. Slaa..
  7. Mtumpole

    Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

    Miongoni mwa wanasiasa wahuni katika nchi yetu Dr. Slaa ni mmojawapo.
  8. Mtumpole

    NMB Bank huu upuuzi siutaki

    Hii mbona ni kitu cha kawauda, sijaona shida hapo.
  9. Mtumpole

    Hongera Simba SC kupanda viwango vya ubora CAF

    😀😀😁😆
  10. Mtumpole

    Hongera Simba SC kupanda viwango vya ubora CAF

    Leo mnawakataa hao IFFSH
  11. Mtumpole

    Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

    Huu wimbo mzuri sana kwa Watawala na watu wengine kama hakina Musiba, Bashite, Sabaya, nk. Nakumbuka Rais wa awamu ile alikuwa anapenda sana kuucheza ukiimbwa. TUSIHI KWA UPENDO.
Back
Top Bottom