Recent content by MTU WA NJIA HII

  1. M

    Rais Magufuli atangaza kiama kwa mitandao ya simu

    Ukisha wapa dawa wao wanatoa mara mbili kwetu
  2. M

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Uwezi kuchukua muda mrefu kuwajua watu, na huyu tumemjua, utawajua tu
  3. M

    Kichekesho cha Wanyambo kujiengua kabila la wahaya!

    Wote wakiwemo wanyambo ni Wahaya
  4. M

    Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

    Laana ya wazazi,laana ya Mzee Warioba
  5. M

    Kardinali Pengo: Watu wasisambaze chuki, Kanisa Katoliki haliendeshwi kwa ruzuku ya Serikali

    Tungetemea Shule zilizo chini ya taasisi za kidini karo zao zingekuwa chini lakini wapi...kwasabu karibu vifaa vyote wanavyo import vinaingizwa nchini bila kodi
  6. M

    Ubalozi wa India ''Bravo"

    Jaribu ya Canada siku nyingine
  7. M

    Mitego ya mke wa Mchungaji nimeichoka!

    Ujasema ni Mchungaji wa mini
  8. M

    Mahubiri ndani ya mabasi ya mwendo kasi ni kero

    Kero ni wale wanaomba sadaka au kukunali kupokea sadaka ,sadaka utolewa madhabahuni kwn mabas hakuna madhabahu wapuuze hao.Kwa swala la injili furahini kwa hilo,itakuja siku utatafuta wa kujuhubiria hutampata
  9. M

    Humphrey Polepole: Tusiwatukane wapinzani

    Mtu Yeyote anaye waponda wapinzani uelewa wake uko chini sana, bila upinzani tusingekuwa hivi, hata CCM yetu inajipanga upya kwasababu ya timi imara ya Upinzani.
Back
Top Bottom