Tungetemea Shule zilizo chini ya taasisi za kidini karo zao zingekuwa chini lakini wapi...kwasabu karibu vifaa vyote wanavyo import vinaingizwa nchini bila kodi
Kero ni wale wanaomba sadaka au kukunali kupokea sadaka ,sadaka utolewa madhabahuni kwn mabas hakuna madhabahu wapuuze hao.Kwa swala la injili furahini kwa hilo,itakuja siku utatafuta wa kujuhubiria hutampata
Mtu Yeyote anaye waponda wapinzani uelewa wake uko chini sana, bila upinzani tusingekuwa hivi, hata CCM yetu inajipanga upya kwasababu ya timi imara ya Upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.