sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,131
- 4,249
Bila matusi hakuna CCM,
Matusi ni malezi yalipandikizwa na yaliopaliliwa na waanzilishi wake wa TANU mara baada ya uhuru,Mwl alikuwa bingwa na kinara wa matusi,vivyo hivyo matusi yalipandikizwa hadi RTD kama kipindi maarufu cha mazungumzo baada ya habari.
Matusi ni mtaji wa kisiasa kwa CCM.
Matusi ni malezi yalipandikizwa na yaliopaliliwa na waanzilishi wake wa TANU mara baada ya uhuru,Mwl alikuwa bingwa na kinara wa matusi,vivyo hivyo matusi yalipandikizwa hadi RTD kama kipindi maarufu cha mazungumzo baada ya habari.
Matusi ni mtaji wa kisiasa kwa CCM.