Nimepoteza Pete ya ndoa, ushauri wa haraka

Nimepoteza Pete ya ndoa, ushauri wa haraka

Tulipo agizwa tuishi nao kwa akili na maarifa, wewe ulielewa nini?
Wanaume wengine hovyo kabisa aiseeee........
Yaani issue ndogo kama hii inakutoa kamasi hivi...
 
Habari za humu wanajamiiForums,

Tangu saa 10 jioni nikiwa njiani kuelekea nyumbani kutoka kazini baada ya kumaliza kazi za leo, nimejikuta ghafla sina pete ya ndoa na katika kumbukumbu zangu nikakumbuka kuwa niliivua nikiwa ofisini nikageuza gari kurudi kazini kwa ajili ya kwenda kuichukua.

Nimefika ofisini nimetafuta pete mpaka muda huu saa 2 usiku sijafanikiwa kuipata kwa bahati mbaya mke wangu bado sijamjulisha. Kwa bahati mbaya maduka muda huu Karikoo yamefungwa.

Naombeni ushauri kwani nahisi nikifika nyumbani mambo yanaweza yasiwe sawa kutokana na;

1. Nimezoea kurudi mapema nyumbani kufikia 12 jioni huwa tayari nimefika nyumbani na leo hii kuchelewa halafu sina pete.

2. Siku za hivi karibu mke wangu amekuwa akihisi natoka nje ya ndoa hivyo tumekuwa na kamvutano ka chinichini.

3. Narudi bila pete ya ndoa
Lete pesa nikuachie yangu gtam tano ,pure gold laki nne tuu
 
Hivi kuvaa Pete ya ndoa ni kipengele kipo kwenye dini au ni binadamu tu tumejiongeza, na vipi ukiamua usivae hiyo Pete kuna kitu kitakuwa kimepungua kwenye ndoa?
 
Mimi mume wangu akirudi nampokea mimi, chumbani naenda nae mimi, nguo za haraka navua mimi kama koti, kuna vitu nitagundua tu kwa haraka kwa kua ntakua nae bzy anaporudi, kama sitagundua pete kwa muda huo kesho anapoenda kazini nitajua tu hana.
Nita concentrate kwenye vitu vingine ila si pete
 
Yaani we huna defence yoyote uliivua ili iweje kama sio nia mbaya? Nani kakuambiaga kuwa inavuliwa ukiwa kazini? MI SIKUSHAURI KITU WE NENDA TU NYUMBANI MKEO AKATHIBITISHE KUWA UMEAMUA KUINYEA NDOA YENU KWA AJILI YA VIMADA VYA OFISINI KWENU.
Mkuu sasa hivi huitaji kuvua
Pete ili upate kimada,mpunga wako tu unatosha!
 
Back
Top Bottom