Labda kijiji chenu huko..Lakini vyama ndo hivyo vi3 nilivyokutajia.Ni mwendawazimu tu au mwenye maslahi binafsi ndio ataweza kusimama mbele ya umati na kujaribu kuaminisha unachofanya
I assure you.Zama za NCCR zimepita.Kwa sasa mtu yeyote mwenye akili timamu anajua vyama vyenye mwelekeo ni vi3 tu. CCM ,CDM na ACT.Hebu tuache unafiki hapa Jukwaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.