Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Bia yetu

JF-Expert Member
Apr 14, 2020
6,923
8,314
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app

=============
Maoni Zaidi

Ni ukweli uliowazi kuwa Mbatia anakwenda kuwa KUB uchaguzi wa mwaka huu hii ni kutokana na chadema sisi chama chetu kimefubaa na kukimbiwa tumebaki hatuna mtaji wa kutosha baada ya wanaharaki njaa kutukimbia na inavyoonekana kule Zanzibar ACT wazalendo watakuwa wapinzani wakuu na sisi huku bara NCCR Mageuzi kuchukua kiti hicho

Kosa kubwa tulilolifanya sisi kama chama ni kuruhusu wanaharakati kujaa na kuonekana ndio wapigania haki tukawathamini hao na kuwaacha wanasiasa ombi langu ni mzee Mbatia usikubali hayo yatokee na kuharibu upinzani hapa nchini.kina mdude.tundu.waitara.kigogo.fatuma.msigwa.mchage.lema .Jacob .Jericho bensaa8 na watu kama hao ni kelele tu mh Mbatia usikubal hili


Nakutakia kazi njema ya kujenga upinzani bora baada ya sisi chadema kuuchezea na kukimbia mijadala bungeni


Kukumweupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
upinzani siyo uadui, ila ni mawazo mbadala..
nchi zilizopiga hatua hutambua hilo

hata ukiwa na mke au mme ambaye kila unacho mwambia yeye ni ndiyo, hata ukifanya ujinga yeye ni sawa tu kwake, basi future ya nyumba yenu itakuwa ya kijinga sana

ili kupata ccm iliyo bora, na taifa lililo bora, ni lazima kuwa na upinzani wa "kweli" wenye nguvu..
 
Kamanda usitoe machozi Mbatia ameanza kuwa mbunge wakati wewe hujazaliwa

Usikimbie October tukutane hapa nitakuambia Nccr ina wabunge wangapi
Una chekesha walio kufa wewe!!
Kwanza ubunge ana patia wapi?
Ili aje kuwa KUB??
AMESHA ELEWEKA mrengo wake. Asubiri aje kupewa viti maalum kama wadada.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mod wangekuwa na akili km zako huwenda jamii forum isingekuwepo leo

Jamii forum ni kwa Watanzania wote sio mali ya Chadema

Kama hutaki mawazo km haya kaangalie Chadema t.v.
Hivi kweli sasa hivi tunaendeleza malumbano ya kitoto ya siasa za kijima badala ya kumlilia Mungu aliepushe Taifa na maangamizi ya janga Hili la Corona? Mods kuna mada zingine humu zinatia kichefu chefu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bia yetu,
Mkuu siku hisi zile buku 7 hulipwa kwa idadi ya posti mnazotuma haba JF kama wahudumu wa baa wanavyolipwa kwa idadi ya visoda?

Nimeona post 5 leo humu zote upinzani kipindi hiki cha Corona nikahisi muundo wa malipo umebadilika kutoka buku 7 per day mpaka buku 1 per post kama mishikaki ya Mbuzi!!
 
Acha kuharibu mjadala
Mkuu siku hisi zile buku 7 hulipwa kwa idadi ya posti mnazotuma haba JF kama wahudumu wa baa wanavyolipwa kwa idadi ya visoda? Nimeona post 5 leo humu zote upinzani kipindi hiki cha Corona nikahisi muundo wa malipo umebadilika kutoka buku 7 per day mpaka buku 1 per post kama mishikaki ya Mbuzi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una speed ya sonic.....juzi tu tarehe 14 mwezi huu........leo msg 642.....:D
 
NCCR mageuzi haitopata hata viti 3 vya ubunge. Mark my words. Kama CCM.wana imani basi wangewaachia viti vya ueakilishi wapinzani Zanzibar baada ya CUF kususia uchafuzi wa marudio ili kupata judtification ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. CCM wana roho mbaya kumzidi shetani mwenyewe!
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mujibu wa MWL. J.K.Nyerere huyo mtu wako anaitwa mwanasiasa Malaya malaya. Anatongozwa na wanaume anakubali tuu. Hao Wanasiasa malaya malaya hatuta waruhusu watuvurugie nchi pamoja na mabwana zao inzi wa kijani. Ni aibu sana janaume zima kutongoxwa halaf unakubali nipo tayar *****.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom