Mshuaa jiongeze sana Asee
Ujuvii na takwimu zisizo rasmi..
Demu wa mwaka wa kwanza bado sana, ajui vingi na aoni fursa nyingi...
Akifika mwaka wa tatu akisema ivoo ujue huyo ndo wife material..
Nikija kwenye ile mada ya kula demu kimasihala nakuta visa kama vyako mkuu
Ngoja apitie mitihani ya...
Anatoka jamii wanayokula ndizi ?
Kama jibu ndio ..huko ni kawaida..
Wataalam wa huko hufanya mahusiano chini/sakafuni ..
Na kitanda ni sehemu ya kyulala tu .
Wa hivyo wazuri...
Acha kukata tamaa mapema..
Izo kachumbali zinapata motto taratibu kama mchanga vilee na kupoa ni kazi sana...
Wee nenda nae mdo mdo ...
Ku kata Tamaa ni mwiko Mwambafai..
Rudisha majeshi broo
Pm namba tukuwekee njia sawa
Wee uterezee tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.