B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,413
Samahani mkuu,ila Wwe ni Ndezii INA maana unataka upewe papuchiii kirahisiii ivoo,alafu mbona unaharaka ivoo kama ndege ni wako utamtafuna tu.
Sawa mkuu. Tutaacha ila bado bado
Miss chagga umefufuka?MUNGU ATAKULIPA KWA HILI"
Ha ha ha ha uchupa ... Komaaa
😠😠😠Nampongeza huyo binti kwa msimamo wake
Miss chagga umefufuka?
Karibu sana nilidhani umebadilisha IDNdiyo mkuu
Karibu sana nilidhani umebadilisha ID
sheria za Tanzania zinaruhusu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi ?Atakupa tu kuwa na subira alaf unaonekana unataka upige usepe huna malengo na mtoto wa watu
Si ulipata kwa mhudumu, au hakuwa mwanamke? Ugwadu wako si uliumwaga au?Ndio maana yake mkuu. Mi sikumtaka Kwa malengo yoyote zaidi ya kutaka huduma tu